Kwanini uwake jumapili sasa
Dada nisamehe sirudii tena😂😂🤣Nitakuchapaaa 😡
Naunga mkono hojaMungu anusuru maisha na mitaji ya wavuja jasho
Picha zimepigwa Pini!Hata picha
Maharage Chande atauzimaHabari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
Kwa habari Zaidi endelea kufuatilia habari zetu na mitandao yetu ya kijamii.
View attachment 2768214View attachment 2768216
Af ofisi za faya zipo kituo kinachofuataMoto unawaka lisaa na hakuna dalili ya kuuzima.kweli nchi hii
Kwani kaaamishiwa FayaMaharage Chande atauzima
Sipati picha, Passports za watu kama zimepona!!!DUA NYINGI KWA
SANDALAND THE ONLY ONE
MOTO UNAELEKEA KWAKE.
MUNGU AMNUSURU NA HILI JANGA
Moto inasemekana upo karibu na bigbonWatu washapiga pesa na kuiba ,wanaunguza soko kupoteza ushahidi ,,mjin Shule ...
AmenMungu awasaidie