Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Hilo eneo Lina historia mbaya sana ya moto,hapo kuna watu wanaenda kurudi sifuri.

Mwaka 2012 hapo mtaa wa Mkunguni panapowaka moto nje ya mnada wa spare parts za magari kuna bar ilishika moto ikateketea yote bahati nzuri moto haukuhamia kwengine.
 
Mimi huwa najiuliza! Ni matukio machache ambayo jeshi la Zima moto huwa linafakiwa kuzima moto.Na changamoto ninayoiona ni kutegemea magari ya Maji ambayo kama moto umetokea katika maeneo ambayo hayawezi kupita huwa hayana msaada wo wote!
Hivi Serikali haiwezi kununua ndege za Helkopita za Kuzima moto kama wenzetu huko duniani ambazo zinaweza kufika kwenye tukio haraka kuliko kutegemea haya magari ya Maji ambayo pengine yakikutana na foleni yanaweza kushindwa kufikia kwenye tukio kwa wakati?
 
Pale ni karibu sana na makao makuu ya jeshi la zimamoto na uokoaji aka "fire".

Hatutarajii watatuma gari isiyo na maji
It is so sad tuna 60 yrs ya uhuru- akuna fire fighting water network si Dodoma ambapo mji mkuu upo wala Dar wala Arusha😭😭😭Bila haya makitu kwenye mitaa na barabara zetu Daima tutawalaumu fire dept kwani atupo makini na mipango miji yetu
 

Attachments

  • 73A46EDB-B58E-414F-AD01-0519ABB96165.jpeg
    73A46EDB-B58E-414F-AD01-0519ABB96165.jpeg
    8.2 KB · Views: 1
  • AE486631-3E80-4D0A-A50A-92D1307D9999.jpeg
    AE486631-3E80-4D0A-A50A-92D1307D9999.jpeg
    9.7 KB · Views: 2
  • 7EA6CB3B-2C52-4CBD-8E3E-282894BEC58D.png
    7EA6CB3B-2C52-4CBD-8E3E-282894BEC58D.png
    26.6 KB · Views: 3
  • BD14F05F-C649-4650-B776-33A01E8DFE2D.jpeg
    BD14F05F-C649-4650-B776-33A01E8DFE2D.jpeg
    6 KB · Views: 2
  • AF83CD85-58F7-401B-904A-6426F40DE9FA.png
    AF83CD85-58F7-401B-904A-6426F40DE9FA.png
    20.3 KB · Views: 2
Series za Matukio kuzima tukio.
Wachomaji ni waajiriwa kabisa wenye Namba za utambulisho.

Watu wanaumizwa Sana hii dunia.
 
Mimi huwa najiuliza! Ni matukio machache ambayo jeshi la Zima moto huwa linafakiwa kuzima moto.Na changamoto nayoiona ni kutegemea magari ya Maji.
Hivi Serikali haliwezi kununua ndege za Helkopita za Kuzima moto kama wenzetu huko duniani ambazo zinaweza kuwahi kuzima moto kuliko kutegemea haya magari ya Maji ambayo pengine yakikutana na foleni yanaweza kushindwa kufikia kwenye tukio kwa wakati?
Miaka ya 80 Dar es salaam karibia yote ilikuwa ma network za maji kwa ajili ya kuzima moto! Mpaka manzese huko kulikuwa na hizi systems, pale kwenye gorofa za Urafiki kulikuwa na fire hydrants kila baada ya forofa moja! Nimetembelea Kigamboni kule kwenye miradi ya nyuma sijaona fire hydrants. Ata Kule Nungwi Zanzibar , Arusha sijaona, Dodoma pia sehem nyingi sijaona- Tanzania tutaendelea kufirisiwa na Majanga ya Moto mpaka pale tutakapo kuwa makini na mipango miji iliyokuwa sahihi
 

Attachments

  • 6F2E9B73-D1CE-4DC2-93AD-235CF7312599.jpeg
    6F2E9B73-D1CE-4DC2-93AD-235CF7312599.jpeg
    8.2 KB · Views: 2
  • 7667ADC9-391F-4EAC-B98A-C8E72C9EF8C4.png
    7667ADC9-391F-4EAC-B98A-C8E72C9EF8C4.png
    26.6 KB · Views: 2
Haya makitu yanatakiwa yawepo kila mtaa! Gari za Zima moto ziweze jaza maji!. Kitendo cha maji yakiisha kwenda zaidi ya 10KM na kutumia Dakika zaidi ya 30 Kujaza maji uwezi zima moto, maana moto aukusibirii urudi na maji wenyewe utaendelea na kazi yake
 

Attachments

  • 2C29E989-3809-4177-BF01-2DA7179C4AA5.jpeg
    2C29E989-3809-4177-BF01-2DA7179C4AA5.jpeg
    8.2 KB · Views: 1
Miaka ya 80 Dar es salaam karibia yote ilikuwa ma network za maji kwa ajili ya kuzima moto! Mpaka manzese huko kulikuwa na hizi systems, pale kwenye gorofa za Urafiki kulikuwa na fire hydrants kila baada ya forofa moja! Nimetembelea Kigamboni kule kwenye miradi ya nyuma sijaona fire hydrants. Ata Kule Nungwi Zanzibar , Arusha sijaona, Dodoma pia sehem nyingi sijaona- Tanzania tutaendelea kufirisiwa na Majanga ya Moto mpaka pale tutakapo kuwa makini na mipango miji iliyokuwa sahihi
Mkuu nakubaliana na wewe kabisa! Hizo Fire hydrants sizioni kabisa.
 
Miaka ya 80 Dar es salaam karibia yote ilikuwa ma network za maji kwa ajili ya kuzima moto! Mpaka manzese huko kulikuwa na hizi systems, pale kwenye gorofa za Urafiki kulikuwa na fire hydrants kila baada ya forofa moja! Nimetembelea Kigamboni kule kwenye miradi ya nyuma sijaona fire hydrants. Ata Kule Nungwi Zanzibar , Arusha sijaona, Dodoma pia sehem nyingi sijaona- Tanzania tutaendelea kufirisiwa na Majanga ya Moto mpaka pale tutakapo kuwa makini na mipango miji iliyokuwa sahihi
Maji yapo ikulu
 
Back
Top Bottom