kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Ndio watajua umuhimu wa bima sasaSio wote Wana bima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio watajua umuhimu wa bima sasaSio wote Wana bima
Ukishaona hivyo ujue huo moto si bure.Fire fighter wanakuja kwa kusuasua hapa eneo la tukio...
Bank pesa haziibiwi kijinga namna hii mkuu.Hata bank iwake moto uwezekano wa pesa kuungua ni mdogo sana.Hakuna mtu anaweza vunja vault za pesa kama hana cressidential za kufunguaNaona BOA Bank hapo chini...Hv huu sio mpango kweli wajanja wamesha piga mpunga BOA Bank then wanalipua moto waje kusema pesa ziliungua ama watu wapemepita nazo ktk harakati za kuuzima moto?...ama walishapiga kitamboooo
Sijui nawaza Nini Mimi...kichwa maji mimi
Mkuu biashara na maisha kwa ujumla ni risk nje nje sanaAlafu ukute mtu ameingiziwa mkopo wake alhamisi alafu ijumaa ameenda kutia mzigo wa kutosha ili juma tatu aanze kukimbiza.
Anakuja kuskia au kuona balaa ndio hilo.
Wakati mwingine vifo hutokeaga hivi hivi.
Mkuu ungekua na wazazi au ndugu wapo humo ndani still unge comment hii comment.....Safi sana yaani saana
Picha ya karne
Ingekua ni duka lako linaungua ungetania pia bila shaka🙄Mimi nafanya utani tu hapo
Why broo?? Kuna faida unapata mwenzako akiumia?Safi sana yaani saana
Kupeleka dar wakuu wa mikoa wanao toka mbeya ni majanga sanaView attachment 2768339
Mbona upo sehemu mbili tofauti nini chanzo chake katika hayo mawili majengo tofauti
Au teja katupa kipisi cha sigara kama alivotupa kule karume 🤔Mtu mmoja anaweza kuwa amesahahu chaja ya simu on. Hapo kuna maduka ya pafume(petrochemicals) maduka ya nywere bandia(petrochemicals) anything can cause fire
Kuna watu wa ajabu sana nchi hii.Why broo?? Kuna faida unapata mwenzako akiumia?
Kama una maisha mazuri na mitaji ya kukodi frame mshukuru mungu na sio kuwaombea wenzako wafukuzwe.Acha uwake tu tena uwake uunguze vitu. Yaani kariakoo ni eneo la kijinga sana hakuna mpangilio wa kitu chochote, siyo maduka makubwa wala machinga, yaani siku ikitokea fujo watu watakufa sana. Nashauri serikali iwafukuze chinga wote wanaopanga barabarani waondoke kariakoo iwe safi