Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Alafu ukute mtu ameingiziwa mkopo wake alhamisi alafu ijumaa ameenda kutia mzigo wa kutosha ili juma tatu aanze kukimbiza.

Anakuja kuskia au kuona balaa ndio hilo.

Wakati mwingine vifo hutokeaga hivi hivi.
 
Naona BOA Bank hapo chini...Hv huu sio mpango kweli wajanja wamesha piga mpunga BOA Bank then wanalipua moto waje kusema pesa ziliungua ama watu wapemepita nazo ktk harakati za kuuzima moto?...ama walishapiga kitamboooo

Sijui nawaza Nini Mimi...kichwa maji mimi
Bank pesa haziibiwi kijinga namna hii mkuu.Hata bank iwake moto uwezekano wa pesa kuungua ni mdogo sana.Hakuna mtu anaweza vunja vault za pesa kama hana cressidential za kufungua
 
1696147344714.png


Mbona upo sehemu mbili tofauti nini chanzo chake katika hayo mawili majengo tofauti
 
Acha uwake tu tena uwake uunguze vitu. Yaani kariakoo ni eneo la kijinga sana hakuna mpangilio wa kitu chochote, siyo maduka makubwa wala machinga, yaani siku ikitokea fujo watu watakufa sana. Nashauri serikali iwafukuze chinga wote wanaopanga barabarani waondoke kariakoo iwe safi
Kama una maisha mazuri na mitaji ya kukodi frame mshukuru mungu na sio kuwaombea wenzako wafukuzwe.

TUNATEGEMEANA.
 
Back
Top Bottom