Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikulu pia iliwai unguwa na kuna vyumba viliteketea kabisa🤣Vilikuwa na Nyaraka lakini! Nini Nyaraka😂Maji yapo ikulu
🤣🤣🤣😂😁Ikulu pia iliwai unguwa na kuna vyumba viliteketea kabisa🤣Vilikuwa na Nyaraka lakini! Nini Nyaraka😂
Inasikitisha sana aiseeMaskini mali za watu 😭😭
Haya makitu yanatakiwa yawepo kila mtaa! Gari za Zima moto ziweze jaza maji!. Kitendo cha maji yakiisha kwenda zaidi ya 10KM na kutumia Dakika zaidi ya 30 Kujaza maji uwezi zima moto, maana moto aukusibirii urudi na maji wenyewe utaendelea na kazi yake
Hizo hydrant system zilikuwepo mbona,ila zote zimengolewa na kuharibiwa kutokana na ujenzi holelaIt is so sad tuna 60 yrs ya uhuru- akuna fire fighting water network si Dodoma ambapo mji mkuu upo wala Dar wala Arusha[emoji24][emoji24][emoji24]Bila haya makitu kwenye mitaa na barabara zetu Daima tutawalaumu fire dept kwani atupo makini na mipango miji yetu
Wewe SEMA ili kuboresha, Serekali yeti inajisahau sana na kufanya mambo bila tahadhari, unawezaje kuruhusu vibanda vya makaratasi ya nailoni chini ya magorofa !? Angalia hatari ya wakaazi WA magorofani wanayoipata!? Mungu tunusuru na majanga ya kujitakiaNikiripoti kutoka eneo la tukio, nasema hivi serikali ni...
Sina wakili
Do not cry anymore,young sis!Wakinga wanafanya tambiko.Don't cry a river!😂😂😂Maskini mali za watu 😭😭
Usiseme hivyo Kuna watu hapo wamepoteza mali na hawana hatiaDo not cry anymore,young sis!Wakinga wanafanya tambiko.Don't cry a river!😂😂😂
Mimi sijasema mkuu.Nimeandika.Watakopa upya!Usiseme hivyo Kuna watu hapo wamepoteza mali na hawana hatia
Kwa muonekano moto huo utakuwa ulianzishwa na wachoma taka kwani upo katikati ya maduka na ghorofa linalojengwa.Habari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.
View attachment 2768279
View attachment 2768304
Bima ipo itawasaidia,ndio kazi ya bima kwenye mambo kama hayaMaskini mali za watu 😭😭
CCM inachoweza ni wizi wa kura na kuitana kwenye madaraka na kukejeli wananchi.It is so sad tuna 60 yrs ya uhuru- akuna fire fighting water network si Dodoma ambapo mji mkuu upo wala Dar wala Arusha😭😭😭Bila haya makitu kwenye mitaa na barabara zetu Daima tutawalaumu fire dept kwani atupo makini na mipango miji yetu
Sio wote Wana bimaBima ipo itawasaidia,ndio kazi ya bima kwenye mambo kama haya