Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

Pale ni karibu sana na makao makuu ya jeshi la zimamoto na uokoaji aka "fire".

Hatutarajii watatuma gari isiyo na maji
 
msije kuchoma majenereta yangu yanayosababisha mgao wa umeme, yale mpaka yaishe na mkiyachoma naleta mzigo mwingine wa kuisha juni 2024. mtaipata nyie fanyeni mchezo 😳

 
Siku ya moto, barabara ya kutokea Sinza Vatican pia kuna nyumba imeungua
 
Serikali inajiandaa kununua vifaa vya kisasa vya kuzimia moto ila pesa ya kununulia maviete hazikosagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…