daah umenikumbusha mbali sana na hizo chachacha...ndo zilikuwa pigo zenyew enzi hizo ila ngoja jua liwake ndo utaona moto wake. asante mzee rukhsa kuifungua nchi. hii nchi tuwashukuru sana hawa wa pandeipi ya pili ya bahariJamani tuwe na shukhurani maana zamani kuvaa kiatu au raba mtoni lazima uwe na ndg nje ya Nchi ili akutumie,au vaa mi chachacha zako! Maendeleo Tz yamekuja kwa kasi sana!!
🎶MREJESHO June 18, 2021:
View attachment 1822788
Durability and quality is compromsed.I don't care. Uzuri nikivaa hakuna anayejua nimevaa fake boots. Naonekana nimevaa viatu vya gharama kubwa sana. Huoni mimi ndio mjanja?
Anga unamaanisha kampuni inayoitwa hilo jina, na kama ni kampuni huwa wanatoa alternative delivery kwa sellers ambao hawatumi percels kwenye location uliyopo?Shipping tumia anga , wanapima kilo, 1kg =15 USD
Hiyo raba imitation, huoni haina hata brand name? Made in China streets. Kitu halisi hupati kwa hiyo bei, na ujue kuna feki na originalKariakoo baba lao.
Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha Waislamu wenzangu nipate thawabu kwa Mola wangu. Yaani pamoja na kuwa na tabia chafu ya kutembea na wake za watu lakin najivunia kuwa Muislamu aisee. Inshallah mwaka huu nikioa nitatulia).
Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba kali kinoma, zile wanaziiitaga Air Jordan, Nike, NBA snickers. Kuulizia bei zake akaanzia 20,000!
Daaah nikavikagua na kuanza kujisemea moyoni hivi si naonaga akina David Sportswear, Robyone, NjooKariakoo2020 wanauza kuanzia 65,000 mpaka 70, 0000!!!
Nikamwambia mshikaji mie nina 14,000 akanitolea nje. Nikasepa, akaniita akasema ongeza buku. Nikampa 15,000 nikabeba.
Wakuu, kumbe madukani huwa mnaibiwa. Vitu vya kijanja kwa bei za kijanja vyote vipo Kariakoo.
View attachment 1764016
Umepigwa bro hii ndula bei buku nane tuKariakoo baba lao.
Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha Waislamu wenzangu nipate thawabu kwa Mola wangu. Yaani pamoja na kuwa na tabia chafu ya kutembea na wake za watu lakin najivunia kuwa Muislamu aisee. Inshallah mwaka huu nikioa nitatulia).
Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba kali kinoma, zile wanaziiitaga Air Jordan, Nike, NBA snickers. Kuulizia bei zake akaanzia 20,000!
Daaah nikavikagua na kuanza kujisemea moyoni hivi si naonaga akina David Sportswear, Robyone, NjooKariakoo2020 wanauza kuanzia 65,000 mpaka 70, 0000!!!
Nikamwambia mshikaji mie nina 14,000 akanitolea nje. Nikasepa, akaniita akasema ongeza buku. Nikampa 15,000 nikabeba.
Wakuu, kumbe madukani huwa mnaibiwa. Vitu vya kijanja kwa bei za kijanja vyote vipo Kariakoo.
View attachment 1764016
Kwa kweli siwezi kuvivaa viatu vya dizaini hio hata viwe OG,vinawapendeza wachunga ng'ombe
Na wewe vyako vipi hapo sofani kwa shemeji yako?Mdosho huo yaani hapo ni sawa umenunua mabox
[emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe vyako vipi hapo sofani kwa shemeji yako?
Mtaani kwetu kama hizo wanauza buku Mbili,,,muuzaji kafurahi kweli kapata fala wakeKariakoo baba lao.
Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha Waislamu wenzangu nipate thawabu kwa Mola wangu. Yaani pamoja na kuwa na tabia chafu ya kutembea na wake za watu lakin najivunia kuwa Muislamu aisee. Inshallah mwaka huu nikioa nitatulia).
Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba kali kinoma, zile wanaziiitaga Air Jordan, Nike, NBA snickers. Kuulizia bei zake akaanzia 20,000!
Daaah nikavikagua na kuanza kujisemea moyoni hivi si naonaga akina David Sportswear, Robyone, NjooKariakoo2020 wanauza kuanzia 65,000 mpaka 70, 0000!!!
Nikamwambia mshikaji mie nina 14,000 akanitolea nje. Nikasepa, akaniita akasema ongeza buku. Nikampa 15,000 nikabeba.
Wakuu, kumbe madukani huwa mnaibiwa. Vitu vya kijanja kwa bei za kijanja vyote vipo Kariakoo.
View attachment 1764016
HayaUnajikuta mjanja kishenzi!!!
Viatu vya watoto.... Ni tsh 5000 ikizidi tsh 7000Kariakoo baba lao.
Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha Waislamu wenzangu nipate thawabu kwa Mola wangu. Yaani pamoja na kuwa na tabia chafu ya kutembea na wake za watu lakin najivunia kuwa Muislamu aisee. Inshallah mwaka huu nikioa nitatulia).
Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba kali kinoma, zile wanaziiitaga Air Jordan, Nike, NBA snickers. Kuulizia bei zake akaanzia 20,000!
Daaah nikavikagua na kuanza kujisemea moyoni hivi si naonaga akina David Sportswear, Robyone, NjooKariakoo2020 wanauza kuanzia 65,000 mpaka 70, 0000!!!
Nikamwambia mshikaji mie nina 14,000 akanitolea nje. Nikasepa, akaniita akasema ongeza buku. Nikampa 15,000 nikabeba.
Wakuu, kumbe madukani huwa mnaibiwa. Vitu vya kijanja kwa bei za kijanja vyote vipo Kariakoo.
View attachment 1764016
Mi nawaonaga wanavaa midosho wanapendeza kinoma ,kiuhalisia vaa midosho hamna mtu atajua then uwe navyo vingi maana hazidumu kuliko raba moja og umenimunua laki na kituIla ngozi nyeusi tu ndio tunajali mambo ya Og ila wazungu huwa hawajali kabisa wacheki raba zao hasa wale wanaotembea na mibegi mikubwa utakuta kavaa simpo tu na raba hata designer hajulikani hahah!
Wengine tutajua tu mdoshoMi nawaonaga wanavaa midosho wanapendeza kinoma ,kiuhalisia vaa midosho hamna mtu atajua then uwe navyo vingi maana hazidumu kuliko raba moja og umenimunua laki na kitu
Mzungu avae mdosho kwani Ulaya kuna midosho?Mi nawaonaga wanavaa midosho wanapendeza kinoma ,kiuhalisia vaa midosho hamna mtu atajua then uwe navyo vingi maana hazidumu kuliko raba moja og umenimunua laki na kitu