Kariakoo: Nimenunua Raba kali kinoma kwa 15,000/=. Madukani huwa naona zinauzwa 70,000/=

Wengine tutajua tu mdosho

Ova
Mi nikaa mdosho hujui ng'o maana navaa kiatu ambacho sio ivyo vinamwangwa kama maembe naenda dukani Bei chee ,mitoko mitatu au minne natemana nacho Maisha yenyewe yako wapi natafuta kingine ,Nina viatu kibao navaa vipya tu vya zamani natemana navyo
 
I don't care. Uzuri nikivaa hakuna anayejua nimevaa fake boots. Naonekana nimevaa viatu vya gharama kubwa sana. Huoni mimi ndio mjanja?
Vinawahi kuharibika , nilinunu 7000, vikaisha ndani ya muda mfupi, nikanunua 65k hata ukivaa unajisikia quality yake , mdundo na vinadumu sana
 
Mi nikaa mdosho hujui ng'o maana navaa kiatu ambacho sio ivyo vinamwangwa kama maembe naenda dukani Bei chee ,mitoko mitatu au minne natemana nacho Maisha yenyewe yako wapi natafuta kingine ,Nina viatu kibao navaa vipya tu vya zamani natemana navyo
Mdosho si muonekano tu
Ukivaa uimara hakuna,hakuna comfortability pia...
Unavaa kiatu unasikia kuungua mguu

Ova
 
dunda nayo tu one wk, utakuja na majibu hapa
 
famba
 
Dogo navyokujua ulienda Hadi kuwaringia Kobaaz wenzako madrasa
 
Copy Hiyo kiatu cha mchina hicho, matirio ya chini, utakivaa mwezi TU kishapasuka
 
Nimeuza viatu kwa zaidi ya miaka 6 , Nina uzoefu mkubwa wa product hizo
Si mbaya kwa kuwa umekipenda na ukanunua lakini last time kiatu hicho nimejumua 7,000/= na ndo Bei zake
Kama uko tayari kujifunza jinsi ya kutambua viatu original Niko tayari kukuelekeza
 
Hiyo kwenye picha ndo Jordan?
 
Comment sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…