Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Samia si yupo Dodoma? We bila Shaka ni TADEA unataka kumkashifu rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuta hapo hakuna aliyelazimishwa bali wamehamasishwa. Kwasababu ya uoga na kukosa msimamo, wakaamua kufunga biashara. Ujinga na uoga ni tishio kwa watanznia walio wengi.
Bila hamasa za shurti, wananchi wa hawawezi kwenda. Mama hana mvuto wa kisiasa. Huo ndio ukweli mchungu!