Utakuta hapo hakuna aliyelazimishwa bali wamehamasishwa. Kwasababu ya uoga na kukosa msimamo, wakaamua kufunga biashara. Ujinga na uoga ni tishio kwa watanznia walio wengi.
Bila hamasa za shurti, wananchi wa hawawezi kwenda. Mama hana mvuto wa kisiasa. Huo ndio ukweli mchungu!