Kariakoo the busiest business Centre in East Africa

We hiyo Githurai ina u busy gani??!!!!
Mbona watu wachache kabbisa na mnapishana vzuri!???
Then Githurai chafuuu mitope kibweenaaa then Githurai ni ndogo kariakoo kubwa man.
 
Kama CBD imekua kariakoo basi posta na upanga nini .

Maana hata tukiwa dar hata daladala zinatofautiana Maeneo Kwa sababu ya umbali uliopo.


Hiv ulishafika dar?
Inasemekana kuwa zaidi ya asilimia 30 ya mapato ya TRA yanatokana na kodi za biashara za kariakoo. Naomba wenzangu mthibitishe hili maana mimi niliambiwa hivyo na Mfanyabiashara mkubwa wa kariakoo.
 
hoja hapa ni umashuhuli wa soko la kariakoo.

kuhusu thamani ya kile kinachofanyika ni hoja nyingine.ambayo kimsingi wala haihusiana na nini kinachofanyika eneo husika.

nairobi ina makampuni mengi makubwa yanazalisha hapo nairobi na nje ya nairobi,lakini kariakoo ni soko la bidhaa tu.

uchumi wa kenya uko juu ya tz kitu inayosababisha hata gharama za maisha kwa wakazi wa nairobi kuwa juu kwa kila kitu mpaka revenue kwa serikali lazima mtadaiwa kubwa.
 
 
We bwege nn asa hizo picha na hayo majengo kwa akili zako yatazidiwa na huu uchafu ulio commnt apa chini? yani vyumba? kariakoo kuna vyumba ndo vya biashara? au huelewi unacho andika? hayo maghorofa ndio yaliyopo kariakoo asa nenda na drone bas ukaupige ivyo vyumba...
Kariakoo kuna vyumba zingine za mabati na watu wengi sana wanauza kwa barabara hakupitiki na pia kuchafu sana sana.Sasa mnaleta picha tu za mijigorofa mnaacha kule kubaya na kuchafu zaidi ili kuhadaa waKenya .
 
Ona uyu Matraaaako...analeta barabara tena wakat c tunaongelea Center of Business...ivi nyie 254 nn shida mwingine nae kaleta Mall...asa kwan Tz hamna Mall mbona zipo kibao na zingine zinazidi zinajengwam..!!!!..[emoji23] uzi hauzungumzii Malls wala Barabara kama hamna cha kucomments u better shun ur Dishes..
 
Apo namba mbili..ukinyooka na Mtaa wa Narung'ombe kuna HONG KONG HOTEL Bonge moja la mjengo
 
Ulisoma majibu ya ndugu yetu akizungumzia kuhusu GDP za nchi hizi mbili??????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…