😀😀😀Urusi mnajua cha kufanya
Nalog off Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Urusi mnajua cha kufanya
Nalog off Z
walilipataj hilo jiwe bila kufika eneo la mpaka?Mnaleta propaganda km ya vifaru vilivyokuwa vinataka kuvuka mto vikapigwa vyote au jeshi la Ukraine wamewarudisha nyuma Russian mpk mpakani kwao baadae tukaoana jiwe la mpaka wameenda nalo sehemu wakarekodi videotape fanyeni propaganda wenzenu wanakufa kweli mpk jotti amekili kila siku sio chini ya 100 wanazika
Unacomment hadi unataka kulia kwa uchungu,pole ustadhi haya ndiyo madhara ya vita japokuwa akili yako haitaki kupokea uhalisiaMnaleta propaganda km ya vifaru vilivyokuwa vinataka kuvuka mto vikapigwa vyote au jeshi la Ukraine wamewarudisha nyuma Russian mpk mpakani kwao baadae tukaoana jiwe la mpaka wameenda nalo sehemu wakarekodi videotape fanyeni propaganda wenzenu wanakufa kweli mpk jotti amekili kila siku sio chini ya 100 wanazika
Jeshi la ukraine jana limefanya shambulio baya sana kwenye mji wa luhansk na kuua wagner mercenaries 250-300
Huku akibakia mmoja tu ambae amechukua video hii huku akilia
video yao kabla hawajakula kichapo kizito
We ni mmarekani wa Kakonko Kigoma TZ, tunakujua vizuri kuliko unavyojijua mwenyewe [emoji2]Urusi Amenivunja Moyo wangu.
HIZI NI Habari mbaya sana kwangu Leo.
please putin do something.
Moto wa propaganda za utumwa wenu toka kwa mabeberu ya nchi za magharibi [emoji28]Putin anabatizwa na moto wa jehanamu
Na kuna watu wako kwenye denial, kila wanaposikia habari ambazo hawapendi kuzisikia.Ukipost tu unawaona hawa hapa wana deny kila kituKuna watu wako desperate na good news Kwa upande wao,yaani ukiwapa tango pori basi watamiminika Kwa Kasi kuja kujimwambafy!
We ni mmarekani wa Kakonko Kigoma TZ, tunakujua vizuri kuliko unavyojijua mwenyewe [emoji2]
Ni vema haujakanusha desperation waliyonayo watu fulani Kwa kukosa good news Kwa muda mwingi wa Operation hiiNa kuna watu wako kwenye denial, kila wanaposikia habari ambazo hawapendi kuzisikia.Ukipost tu unawaona hawa hapa wana deny kila kitu
Hizo porojo zipo tu Toka mwanzo na mwisho wa siku watu mnaingia mitini!Tulia dawa iwaingie hakuna wagner tena kwenye mji wa luhansk
Bome-eNgoja wake ProPutin warusi wa Buza🤔
![]()
Ukraine: Exact timeline of Putin's demise pinpointed
VLADIMIR PUTIN will be gone in three to six months' time, according to a former MI6 Russian specialist.www.express.co.uk
Propaganda!