Karibia Wagner Mercenaries 250-300 wafa jana

Karibia Wagner Mercenaries 250-300 wafa jana

Mnaleta propaganda km ya vifaru vilivyokuwa vinataka kuvuka mto vikapigwa vyote au jeshi la Ukraine wamewarudisha nyuma Russian mpk mpakani kwao baadae tukaoana jiwe la mpaka wameenda nalo sehemu wakarekodi videotape fanyeni propaganda wenzenu wanakufa kweli mpk jotti amekili kila siku sio chini ya 100 wanazika
walilipataj hilo jiwe bila kufika eneo la mpaka?
 
Mnaleta propaganda km ya vifaru vilivyokuwa vinataka kuvuka mto vikapigwa vyote au jeshi la Ukraine wamewarudisha nyuma Russian mpk mpakani kwao baadae tukaoana jiwe la mpaka wameenda nalo sehemu wakarekodi videotape fanyeni propaganda wenzenu wanakufa kweli mpk jotti amekili kila siku sio chini ya 100 wanazika
Unacomment hadi unataka kulia kwa uchungu,pole ustadhi haya ndiyo madhara ya vita japokuwa akili yako haitaki kupokea uhalisia
 
Jeshi la ukraine jana limefanya shambulio baya sana kwenye mji wa luhansk na kuua wagner mercenaries 250-300
Huku akibakia mmoja tu ambae amechukua video hii huku akilia







video yao kabla hawajakula kichapo kizito

Punguzeni propaganda!
hiyo habari sio ya kweli
 
Kuna watu wako desperate na good news Kwa upande wao,yaani ukiwapa tango pori basi watamiminika Kwa Kasi kuja kujimwambafy!
 
Yaani wa ukraine wawauwe wa rusia 300 alafu washindwe kuonesha maiti hata 1 tuu, duu kuna wtu wajinga duniani
Reasoning capacity yako ndogo sana
Umeangalia hiyo clip? Shambulizi la kombora uone maiti
 
Kuna watu wako desperate na good news Kwa upande wao,yaani ukiwapa tango pori basi watamiminika Kwa Kasi kuja kujimwambafy!
Tulia dawa iwaingie hakuna wagner tena kwenye mji wa luhansk
 
Kuna watu wako desperate na good news Kwa upande wao,yaani ukiwapa tango pori basi watamiminika Kwa Kasi kuja kujimwambafy!
Na kuna watu wako kwenye denial, kila wanaposikia habari ambazo hawapendi kuzisikia.Ukipost tu unawaona hawa hapa wana deny kila kitu
 
Na kuna watu wako kwenye denial, kila wanaposikia habari ambazo hawapendi kuzisikia.Ukipost tu unawaona hawa hapa wana deny kila kitu
Ni vema haujakanusha desperation waliyonayo watu fulani Kwa kukosa good news Kwa muda mwingi wa Operation hii
 
Back
Top Bottom