Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣 wizzy njoo CountrywideUnampoteza mrembo hv hv ujue,mwamba juzi kafumaniwa kachezea za kutosha ndo maana now kalala
Mbona hujaniambia jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 wizzy njoo CountrywideUnampoteza mrembo hv hv ujue,mwamba juzi kafumaniwa kachezea za kutosha ndo maana now kalala
Akaokote magari kabla mvua hazijaisha 🤣🤣🤣Get some aspring amigo check on thread cartegory dont kaza your skull
Watakuwa wamemkosea sana sis angu, jf vichaa wengi tatizoSubiri waje kusema umejianzishia uzi
Picha ipo maktaba 😂Picha?
Nimefurahi,karibu sana na utulie Sasa acha mdomo wako wa kizaramo🤣🤣🤣🤣Ahsante sis Joannah 🙏
Nakupenda na unalijua hilo, huyo black flower sio mimi. Ningefungua id mpya ningekwambia, huyo itakuwa tulifanana tone za uandishi..!!
Ss hivi nitakuwa binti mwema I promise 🤣🤣
Atakenitukana tyuu fasta namuita Active amalizane naye!!
Nakupenda sana 😍😍😍
Ahsante kwa ushauri dada nitawaepuka mwaya 🙏
Miss JF una mdomo 😂😂😂Faidika na darsa la FaizaFoxy:
Kwa msamiati wa "slang" wa Kingereza "sissy" ni mwanamme mwenye mambo ya kidada (shoga).
Hapa unamuongelea mdogo wako wa kiume ambae ni "sissy"? Au wa kike ambae ni "sis"?
Jiraaaniiiii 😍😍😍😍
Hizi ni id tofauti buana huyo ni dada angu kipenzi sana humu jfKwa maana nyingine amejianzishia Uzi anajielezea yeye mwenyewe sijasema Mimi lakini
Bibi utamuweza wewe?! 😂Kwamba sisy yake ni Shoga yake Si mnapenda kuitana Shoga nyinyi ukimuona Mwanamke mwenzio unamuita Shoga yangu nikuambie au siku hizi mmeacha kuitana mashoga?
Hata ukisikiliza Taarabu za zamani mlikua mnaimbana Shoga sijui nini na nini sikiliza usikie
Baba mtumishi unayaweza 😂darasa muzuri sana ya ufahamu na uelewa wa misamiati na lahaja
🤣🤣🤣 KumekuchaSitaki na sibadilishi,Kwa Nini wamedilisha bila kuwasiliana na Mimi?Mimi Natambua haki zangu za kiuandishi, shangazi unajua kama maandiko ya mtu Yana hakimiliki?
Bibi anajua tupo enzi za TANU 😂😂😂Lahaja za wapi na wewe nabii wa uongo acha kumpa sifa za uongo shangazi yako....Misamiati inazaliwa, msamiti inakuwa , Misamiati inakufa.....huyo Shangazi yako FaizaFoxy analeta slang za 1974 Hajui lugha ishabadilika hii ni 2024.
😍😍😍 udugu wangu mieUduguu wetu amerudiiiiii.
Woooooooow!!! [emoji482][emoji482][emoji482]
Sis mbona umechachuka sana? 😂Hata kujuana inawezekana ni maamuzi tu prophet
Nakuja tajiri, kwanza bday ya baby wako iliandaje?! Hilo fuko shikilia nakuja tumalize deal 😂Mwambie aneniacha nimeshikilia fuko la hela.
Lile deal keka ulichanika. Aje fasta. 😂😂🏃♂️🏃♂️