Karibu baby sis

Karibu baby sis

Sitaki na sibadilishi,Kwa Nini wamedilisha bila kuwasiliana na Mimi?Mimi Natambua haki zangu za kiuandishi, shangazi unajua kama maandiko ya mtu Yana hakimiliki?
Kaandike kitabu chako au makala yako kwenye gazeti. hapa upo JF.

Mwemye kujuwa uandishi haandiki ujinga na akielekezwa anakuwa msikivu.

Maona umebadili. Nipe japo ahsante.
 
Hiyo zaburi unaipenda kuitolea mfano 🙏
aise ipo nguvu halisi ndani yake,
inanisaidia sana kusonga mbele kwa bidii hata katika ugumu katika kuhubiri neno, zaburi23 inanipa nguvu napita salama sana na hata mama yangu mpendwa sana Joannah nadhani anafahamu utukufu wa Mungu ulivyo na nguvu..
 
Mpambe nisharudi na safari hii mama mchungaji lazima umpate haiwezekani akusumbue toka mwaka jana, tumeingia mpya bado anasumbua 🤣🤣🤣

Tayana-wog shosti huyu mtu mgodi umetema usije kusema sijakwambia
Wizzy yupo kajaa anawazoom 😂😂😂
Aliolewa kwa ndoa ya bashasha sana mbona . Ila zawadi zake na mmewe wachukulie. Nataka waende Dubai fungate.nawalipia😂😂
 
aise ipo nguvu halisi ndani yake,
inanisaidia sana kusonga mbele kwa bidii hata katika ugumu katika kuhubiri neno, zaburi23 inanipa nguvu napita salama sana na hata mama yangu mpendwa sana Joannah nadhani anafahamu utukufu wa Mungu ulivyo na nguvu..
Ww unapenda kumzingua dada angu 🤣🤣🤣
 
Aliolewa kwa ndoa ya bashasha sana mbona . Ila zawadi zake na mmewe wachukulie. Nataka waende Dubai fungate.nawalipia😂😂
Kweli?! Mbona mi sina taarifa jamani!!!
Hii ndoa batili tukate rufaa shemeji
 
Kweli?! Mbona mi sina taarifa jamani!!!
Hii ndoa batili tukate rufaa shemeji
Mmh. Naogopa kusema ulikuwa fungate na" K" ukatuuza. Kaka yako @ Zulu man anajua. 😂😂🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom