Karibu baby sis

Karibu baby sis

Maombi tulishafanya ww kesho njoo mpitie na kaka Luka 🤣🤣🤣
na mbona hamjashare matokeo ya hayo maombi mpaka wa sasa kwamba mmeelekezwa nn cha kufanya na muanzie wap katika ulimwengu wa roho....

maana saa zingine ukikosea kwenye maombi unajikuta unaanzia stakishari police post na unaishia stakishari tena dah...
 
Faidika na darsa la FaizaFoxy:

Kwa msamiati wa "slang" wa Kingereza "sissy" ni mwanamme mwenye mambo ya kidada (shoga).

Hapa unamuongelea mdogo wako wa kiume ambae ni "sissy"? Au wa kike ambae ni "sis"?
unashushuaga we bibi mi sijawahi kukumanya hata kidogo.

kuvunga hujuagi
 
na mbona hamjashare matokeo ya hayo maombi mpaka wa sasa kwamba mmeelekezwa nn cha kufanya na muanzie wap katika ulimwengu wa roho....

maana saa zingine ukikosea kwenye maombi unajikuta unaanzia stakishari police post na unaishia stakishari tena dah...
🤣🤣🤣🤣 Hebu niache kwanza umefanya nicheke hiyo stakishari post to stakisharipost
 
Eti niache ujinga

Yaani ujinga wafanye wengine halafu jitu linakuja kunitisha

Naona sababu ni kucheka ile siku😂😂😂😂.
Nina muda basi,ni kublock tu.
🤣🤣🤣🤣 Nani huyo kakupiga mikwara mbuzi last born!!
Hebu mtaje basi buana, mbona nilipitwa na mengi jamani.. hamjanitunzia hata screenshot
 
🤣🤣🤣🤣 Nani huyo kakupiga mikwara mbuzi last born!!
Hebu mtaje basi buana, mbona nilipitwa na mengi jamani.. hamjanitunzia hata screenshot
Hizo za kwenye ule uzi hazihusiani wala na hiyo mikwara.

Ule mkwara naona ni mimi kucheka na Mr Mang'ombe 😂😂😂
Na alikuwepo anachat jukwaani humu..kisa mtu anagombana naye huko basi anataka kila mtu amaninie mang'ombe jamani.
Sielewi hata sababu nini,napokea vitisho eti niache ujinga...sasa sijui hapo nani ni mjinga.

Ule uzi bhana weee
Ngoja Cocastic shos mwamba wa miamba,Warumi wetu wa group atakuletea umbea.
 
Back
Top Bottom