cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaanMambo ya shangazi hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaanMambo ya shangazi hayo
Walokole hao uoni walivyopendezaMbona kama majini Sasa😁😁
Simuelewagi nikitaka kusema anaigiza kuna kitu kinaniambia nae ni mtu pia.Kwani Domi nae mlokole maana nyuzi zake anazozipenda ni moto🏃🏃🏃🏃
Kanisome tena, nimekuuliza.Shangazi Mimi ni mwerevu,na sijaandika ujinga maana huko shule sijasomea ujinga,Mimi ni mwanazuoni ninaelewa ninachoandika na ninachomaanisha....ujinga ni kumkosoa na kumrekebishia Mtu maandishi yake bila kumuuliza alichomaanisha......Hao waliobadilisha wamesomea ujinga huko mashuleni maana walitakiwa kabla ya kubadilisha waniulize nilimaanisha nini wao wanekurupuka...
NB:sijabadilisha Mimi na huo ndio msimamo wangu wamebadili hao watu wako ....
Hahahahaha mie tena ila si unajua sina haraka kivileUnacheka Nini?vipi we hutaki mishangazi 😜
Umeamkaje RafikiHapa walengwa ni waliobadili maandiko yangu bila consultation....
Salama kabisa Rafiki , Mungu ni mwema siku zote...niko hapa na peruzi na kudadisi ......karibu kifungua kinywaOoh Mungu mwema rafiki, kumekucha salama
Hahahahaha sawa sawa ila mie natamani kusikia zaidi toka kwako ..nimekua mfuasi wa posts zako..😅😉Asante,sawa tuendelee kusikia wadau Wana lipi siku ya leo
Hiyo kawaida siku hizi JF, ukikosea content managers wanarekebisha.Hapa walengwa ni waliobadili maandiko yangu bila consultation....