Karibu baby sis

Karibu baby sis

Shangazi Mimi ni mwerevu,na sijaandika ujinga maana huko shule sijasomea ujinga,Mimi ni mwanazuoni ninaelewa ninachoandika na ninachomaanisha....ujinga ni kumkosoa na kumrekebishia Mtu maandishi yake bila kumuuliza alichomaanisha......Hao waliobadilisha wamesomea ujinga huko mashuleni maana walitakiwa kabla ya kubadilisha waniulize nilimaanisha nini wao wanekurupuka...
NB:sijabadilisha Mimi na huo ndio msimamo wangu wamebadili hao watu wako ....
Kanisome tena, nimekuuliza.

Labda umesoma lakini hujaelimika.
 
Hiyo kawaida siku hizi JF, ukikosea content managers wanarekebisha.
Hawana lolote,walisoma comment yako wakatembelea upepo, sidhani kama walikuwa hata wanajua tofauti....wamefaidika na darsa🥲
 
Back
Top Bottom