Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Lunch mnapata wapi ? Aliye karibu na Nyumbani lounge tuonane pale Toroka uje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende mbele kwa mbele 😂🤣🤣🤣Ilaaa ,twende mbele turudi nyuma,Au basi twende mbele Kwa mbele hayatuhusu
Huo muujiza nna shaka nao, ni wa kweli.?🤣saa zingine na wewe una maneno sana mtumishi Lamomy ..
apa matunda iko upande kwa mfano 😅
hata nahivyo injili lazima isonge mbele.
Na mwaka huu 2024 ni mwaka wa kuhuisha na kufungua maskio ya mioyo na Roho ziliyo ziba ili iwe rahisi kuskia sauti na kutambua wito wa MUNGU
Tunaizibua kwa maombi na maombezi ili hatimae kila mpendwa aweze kusikia sauti ya wito wa MUNGU katika maisha yake....
Pokea muujiza wako mtumishi Lamomy ...
Ooh hallelujah 🔥
Ipi tena? Mbona unaanza kuleta Eden zako za miungu ya kishetani 😂Isijekuwa ile eden nyingine jirani😂
Mmekuwa CCM 🤣🤣🤣Twende mbele kwa mbele 😂
Mbele kwa mbele mambo kwa soksi ,usirudi nyuma....nimekumbuka wimbo wa Dr Remmy na Matimila jazz bandTwende mbele kwa mbele 😂
karibu kwenye maombi na maombezi ya kuhuishwa na kufunguliwa J4 au Alhamis kila wiki nipo mwenyewe kwenye mimbari ya bwana kwaajili hiyo na utapokea muujiza wako kabla mwaka 2024 haujaisha,Huo muujiza nna shaka nao, ni wa kweli.?
Ww km Gwaji boy uongo mwingi unapiga waumini tyuu!!
hata kama ni mimi si mbaya,F.P sio wewe,hapa Kuna mtu mwingine tunamzungumzia....
Welcome back honey,uwe mpole sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona mwaka mnataka niuanze vibaya km Dullah Makabila why?!!
Kumbe ndiyo sirieeUkiachana na CCM ukakaza kwenye upendwa utawazidi wote hao 😜
wengine kopiNa mashangazi ndio sisi hapa [emoji1787][emoji1787]
Nauli ya kuja kwenye maombi sina Apostle 🤣karibu kwenye maombi na maombezi ya kuhuishwa na kufunguliwa J4 au Alhamis kila wiki nipo mwenyewe kwenye mimbari ya bwana kwaajili hiyo na utapokea muujiza wako kabla mwaka 2024 haujaisha,
Na Bwana akubariki sana
Tante shosti 😘Welcome back honey,uwe mpole sasa
Hahahahahahawengine kopi
Eee ndio 😂Kumbe ndiyo siriee
Sawa work continueEee ndio 😂
ila haitapendeza bana me nimezoea hekaheka zako,tutasaidiana shoga anguTante shosti [emoji8]
Ss hivi naacha, mwaka mpya na mambo mapya [emoji12]
😂😂😂😂 Siachi ila ntapunguza mwayego shosti angu, naachaje kwa mfano.?!ila haitapendeza bana me nimezoea hekaheka zako,tutasaidiana shoga angu
ukiwa mpole watakuonea bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Siachi ila ntapunguza mwayego shosti angu, naachaje kwa mfano.?!
We kuweza?
😂😂😂 Na ndo huo ujinga sipendiukiwa mpole watakuonea bana