Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Mbona sielewi kitu au nimepotea jamani huku ni wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF chiti chatiMbona sielewi kitu au nimepotea jamani huku ni wapi?
kwa hili naungana na wewe,ukihitaji nguvu nipo[emoji23][emoji23][emoji23] Na ndo huo ujinga sipendi
weka tu miundombinu yako hapaNauli ya kuja kwenye maombi sina Apostle 🤣
Joannah mpe namba yako mchungaji anitumie nauli ya kwenda kwenye maombi, yangu imefungiwa haijasajiliwa 😂😂😂weka tu miundombinu yako hapa
na kwa neema za Mungu unaweza soma meseji ya muamala chap kwa cm yako, na tubatane kwenye nyumba ya ibada...
hakuna gumu wala lisilowezekana kwa Mungu...
Nitakuwa nakuita shosti 😂😂kwa hili naungana na wewe,ukihitaji nguvu nipo
😀 aise na wewe mtumishi Lamomy unanisemelea kwa mama yangu mpendwa sana wa kiroho tena,Joannah mpe namba yako mchungaji anitumie nauli ya kwenda kwenye maombi, yangu imefungiwa haijasajiliwa 😂😂😂
Hata siujui huo wimbo inaonekana umekula chumvi nyingi.Mbele kwa mbele mambo kwa soksi ,usirudi nyuma....nimekumbuka wimbo wa Dr Remmy na Matimila jazz band
Siwezi kuwa mboga za majani 😂Mmekuwa CCM 🤣🤣🤣
Ile bustani fulani hivi isiyo na udongo 😁Ipi tena? Mbona unaanza kuleta Eden zako za miungu ya kishetani 😂
Hatunywi sumu hatujinyongi……!! 🤣Siwezi kuwa mboga za majani 😂
Umeanza kunichoka sio jirani
Amalizie yule bwana lucavela chawaHatunywi sumu hatujinyongi……!! 🤣
HahahahahahaHata siujui huo wimbo inaonekana umekula chumvi nyingi.
Siku hizi vijana hatuli chumvi, tunalambaHahahahahaha
Acha waisome namba eeee…….!! 🤣Amalizie yule bwana lucavela chawa
Halafu mlamba chumvi ya unga ..sie tulikula chumvi ya mawe 😅😅Siku hizi vijana hatuli chumvi, tunalamba
Mwingine naona ameanza kusambaza ndizi huko kaskazini😂Acha waisome namba eeee…….!! 🤣
Lazima kuwe na utofautiHalafu mlamba chumvi ya unga ..sie tulikula chumvi ya mawe 😅😅
Hahahahahaha..utofauti muhimuLazima kuwe na utofauti