Noah tu, utapata hata Benz Bus ukifanya kazi. Asiyefanya kazi na asile, wakumbushwa kila siku. Ajira zinamwagwa, fursa za kazi zinaongezeka kila siku. Ni kichwani mwako tu kufanya uamuzi. Hizo fedha za madini zikipatikana na za kuboresha mazingira ya wewe na mimi na wao kufanyia kazi na huduma za jamiiPolomosha Tu Mkuu, mjinga nitaonekana Mimi niliyesababisha Tukose Noa tupate hela ya Konyagi bapa mbili.
Wengi wanakurupuka kweli...Ila kwa thamani halisi ya hiyo pesa za ki-Tanzania inakuja Trillion ngapi?Hizo ni hoja kweli! Aibu watu wazima kila siku mnapandia matukio!!
Mmeelewa kweli mrejesho nyuma wa majadiliano au ndiyo hiyo ya kukurupuka?
kama hujaelewa jambo uliza. Taarifa ya Barrick, kuthibitisha alichoikisema Prof Kabudi leo.
Barrick and the Government of Tanzania have also agreed to form a working group that will focus on the resolution of outstanding tax claims against Acacia. Under this proposal, as a gesture of good faith, Acacia would make a payment of US$300 million to the Government of Tanzania, with payment terms to be settled by the working group.
Akikujibu niite! Elfu 14 hata hela ya mafuta haitoshi... Hata hela ya bando la mwezi haitoshi..!!!Wengi wanakurupuka kweli...Ila kwa thamani halisi ya hiyo pesa za ki-Tanzania inakuja Trillion ngapi?
Kama unaweza nifafanulie mkuu
HahahaaaaAkikujibu niite! Elfu 14 hata hela ya mafuta haitoshi... Hata hela ya bando la mwezi haitoshi..!!!
Inauma sana.Kutoka kupata hela ya kumiliki Noah mpaka ya kula mihogo.
Ila fresh tu.
Muonee huruma atakuwa hajui kinacho endelea.Huku ni chit chat, kwenda zako Bwana! Hivi kweli huoni aibu umefanya hesabu zako utapiga 400Trl afu afu inakuletea million 600 ambazo hapo hujakata gharama za kuandaa kikao na muda! Shenztyp
kula shujaa mzeeInabidi nipunguze deni kwani nilitegemea hvyo nikaanza kukopa.inauma sana nilisha mwambia mwanangu muda cyo mrefu tutamiliki gari asinione wa mchezo.hivi viroba wanauza wapi tena nipooze machungu
Njoo hapa ktk kibanda changu nikuuzie supu ya kongoro 1500/=Hivi sasa si Noah tena...bali ni 14,000
Lakini no sweat hata hiyo tunaweza kuitumbua tu.
Mimi nitakachofanya kwa kutumia 14,000 yangu
1. Naenda kupaka rangi mikononi na miguuni - 5000/-
2. Naenda kuseti nywele - 2500/-
3. Nanunua bando la halotel la buku - 1000/-
4. Hela iliyobaki nanunua Valeur, chenji namwachia muuza duka
Baada ya hapo naingia Snapchat kujirekodi kwa furaha ya kuwaangusha wazungu kwenye majadiliano.........
Tumpelekee mgonjwa wetu Lisu alipie matibabu. Nadhani zinatosha na chenji itabaki.Hivi sasa si Noah tena...bali ni 14,000
Lakini no sweat hata hiyo tunaweza kuitumbua tu.
Mimi nitakachofanya kwa kutumia 14,000 yangu
1. Naenda kupaka rangi mikononi na miguuni - 5000/-
2. Naenda kuseti nywele - 2500/-
3. Nanunua bando la halotel la buku - 1000/-
4. Hela iliyobaki nanunua Valeur, chenji namwachia muuza duka
Baada ya hapo naingia Snapchat kujirekodi kwa furaha ya kuwaangusha wazungu kwenye majadiliano.........
Sisi hayo hatujali...tunataka tupate 14,000 tuitumbueeHizo ni hoja kweli! Aibu watu wazima kila siku mnapandia matukio!!
Mmeelewa kweli mrejesho nyuma wa majadiliano au ndiyo hiyo ya kukurupuka?
kama hujaelewa jambo uliza. Taarifa ya Barrick, kuthibitisha alichoikisema Prof Kabudi leo.
Barrick and the Government of Tanzania have also agreed to form a working group that will focus on the resolution of outstanding tax claims against Acacia. Under this proposal, as a gesture of good faith, Acacia would make a payment of US$300 million to the Government of Tanzania, with payment terms to be settled by the working group.