Karibu hapa tujadili jinsi ya kutumia 14,000 zetu toka mgao wa Makinikia

Karibu hapa tujadili jinsi ya kutumia 14,000 zetu toka mgao wa Makinikia

Hivi sasa si Noah tena...bali ni 14,000

Lakini no sweat hata hiyo tunaweza kuitumbua tu.

Mimi nitakachofanya kwa kutumia 14,000 yangu

1. Naenda kupaka rangi mikononi na miguuni - 5000/-

2. Naenda kuseti nywele - 2500/-

3. Nanunua bando la halotel la buku - 1000/-

4. Hela iliyobaki nanunua Valeur, chenji namwachia muuza duka

Baada ya hapo naingia Snapchat kujirekodi kwa furaha ya kuwaangusha wazungu kwenye majadiliano.........
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] dah umevurugwa sio bure si bora tukale vitu adimu kupoza roho
IMG_20171020_104401_572.JPG
 
Back
Top Bottom