Karibu Jean Baleke

Huyu Baleke John (Jean) Bakilile sio mgeni hapa bongo, ndio kwao, labda akudanganye wewe
 
Huyu Baleke John (Jean) Bakilile sio mgeni hapa bongo, ndio kwao, labda akudanganye wewe
 
Mama yangu, mimi ni Yanga ila kwa hili Shambuliaji tumekwisha.

Atatufunga sana huyu. Kweli mtani kaamua.
Hamna kitu, TP mazembe alikuwa anasugua benchi, kaja kwa mkopo kufufua kipaji
 
Mama yangu, mimi ni Yanga ila kwa hili Shambuliaji tumekwisha.

Atatufunga sana huyu. Kweli mtani kaamua.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Upuuzi gani huu hebu tupe current data zake...
 
Hamna kitu, TP mazembe alikuwa anasugua benchi, kaja kwa mkopo kufufua kipaji
Tumemchukua kutoka mazembe lakini alikuwa anachezea ligi ya lebanon
 
Msubirini ajeeeee narudiaaa alikuwa anachezea taifa sio simba am yanga ndugu zanguuuniii

Nazijua kwa undani kidoooogo msione wageni wanakuja wanaomba kuondokaa awapendiiii wnayokutana nayooo nnsirii zaooo muulizen haruna niyonzima...hao wanaigeria walikuwa moto leo wanaomba kukimbia

hizi tmu ziacheni tu musonda mnaemjua akija ajiopange msishangaee yatakayomkuta..ogopa neno MSUMARI.

NI Zaidi ya UhaiΓ±i...ama uhujumu uchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…