Karibu Kamala Harris, Asante Rais Samia Suluhu

Karibu Kamala Harris, Asante Rais Samia Suluhu

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Kuna kipindi Rais Samia alienda Marekani, halafu ikatokea kwamba hajafika Ikulu ya Marekani. Baasi humu mitandaoni akaanza kushambuliwa hasa na watu wa CHADEMA kwamba hajaonana na viongozi wakuu wa Marekani kisa Tanzania hakuna demokrasia.

I dont think kama walisema kweli ila sawa hakwenda.

Now Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Hariss anakuja Tanzania. Mbona wale wapinzani hawaongelei demokrasia?

Tusiache kusema ukweli kwamba Rais Samia Suluhu kafanikiwa kuimarisha demokrasi nchini na Diplomasia yetu ndio maana Kamala anakuja. Mwishoni mwa mwaka Rais wa Marekani Joe Biden atakuwa hapa.

Dunia inaona haki zinavyolindwa, demokrasi inavyoimarika. Kudos Mademe President.
 
Kikubwaaa Kamala akifika, ashinikize [emoji2380] iwe legally, watu wanataka kuoana, wamechoka uchumba sugu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkorofi wewe,huwa unaamua kuwatibua nyongo watu hapa.Subiri tsunami ya comments zinakuja [emoji23][emoji23]
 
Kuna kipindi Rais Samia alienda Marekani, halafu ikatokea kwamba hajafika Ikulu ya Marekani. Baasi humu mitandaoni akaanza kushambuliwa hasa na watu wa CHADEMA kwamba hajaonana na viongozi wakuu wa Marekani kisa Tanzania hakuna demokrasia.

I dont think kama walisema kweli ila sawa hakwenda.

Now Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Hariss anakuja Tanzania. Mbona wale wapinzani hawaongelei demokrasia?

Tusiache kusema ukweli kwamba Rais Samia Suluhu kafanikiwa kuimarisha demokrasi nchini na Diplomasia yetu ndio maana Kamala anakuja. Mwishoni mwa mwaka Rais wa Marekani Joe Biden atakuwa hapa.

Dunia inaona haki zinavyolindwa, demokrasi inavyoimarika. Kudos Mademe President.
Lakini akaribie kwa adabu sana hii nchi ni ya MUNGU, asije akajichanganya kuja kutulazimisha ushoga na usagaji.MUNGU wa ISAKA NA YAKOBO yupo hapa. we jichanganye uone.Muulize kilichomtokea yule nabii aliyevua viatu pale uwanja wa ndege wa JK NYERERE
 
Mkorofi wewe,huwa unaamua kuwatibua nyongo watu hapa.Subiri tsunami ya comments zinakuja [emoji23][emoji23]
Mie naongea ukweli, sasa watu wapenzii kwa miaka zaidi ya 8 wanashindwa kuoana kisa illegal, hii sio sawaa.
Dunia ya Demokrasia na uhuru, lazima ijari matakwa ya watu wake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna anayejua dhumuni la ujio huu maana zile la Upinde zishatangulia kufika kabla hata hajaja
 
Kikubwaaa Kamala akifika, ashinikize [emoji2380] iwe legally, watu wanataka kuoana, wamechoka uchumba sugu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cocastic, Culture na wengine mnafurahia jambo lenye gharama kubwa sana kwa Taifa letu kwa kizazi cha leo na kesho maana;

✓ Watu watakuwa wananuka mavi mavi tupu.

✓ Me tutapungua sana na hakutakuwa na ndoa asilia (Me & Ke).

✓ Nguvukazi ya Taifa (rasilimali Watu) itakosekana kabisa kwa kutozaliana maana Me & Me/Ke & Ke haiwezekani kuzaliwa kiumbe hai.

✓ Single Mothers wataongezeka sana kwa mvunjiko wa ndoa maana hakuna Ke atayekubali kuishi na Shoga lenye Basha nnje ya ndoa.

✓ Nchi itazidi kujawa na laana tele hadi Mungu Muumba mbingu na nchi atapoishukia dunia na kuitekeza.

Kama ninyi mmeshapotea njia, mnapaswa kuiombea nchi yetu kuepukana na huo upumbavu mkiombea kunusurika kwa Vijana wenzenu na Watoto wetu.

Mungu kwa mapenzi yako nakusihi tuepushe na hili balaa hapa TZ. Amina.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom