hongera mkuumbona watu kama facebook mnaitenga au mnaogopa mtaambiwa una utoto ..
Mimi za kwangu
1.jamii forum (hii ya kwanza sababu ndio sehemu ninayo tembelea sana kwa siku)
2.youtube .huku wanakula sana bando langu
3.whatspp.
4.facebook (lakini nikiingia huku nina sehemu zangu kama NNE tu nikimaliza kupitia nduki, profile picha tangu nijiunge sijawah kubadilisha ,Mara ya mwisho kupost sikumbuki lini , mvivu kulike na kukoment picha za watu .... Lakini natembeleaga Mara nyingi sana
5. Wikipedia napenda kugugo sana yaani nikiona kamsemo kadogo nakimbilia Wikipedia nikielewe kwa undani
hongera mkuu1. Jamiiforums
2. Jamiiforums
3. Whatsapp
4. Instagram
5. Telegram
Mkuu tangu nilipoanza kuifahamu jf 2014 sijawai kuiacha kamwe yani mda mwingi nakuwa jf kiufupi jf napata madini sana juu ya mambo mbalimbalihongera sana mkuu, mi hudhani naipenda jf kuliko watu wote kumbe wapo wanaonizidi
hongera mkuu bt malizia hiyo no 51. Facebook
2. WhatsApp
3. Jf
4. Tweeter
5...
Hivi Twitter wana app? NijaribuTwitter acha kabisa .. Then Jf
Mkuu umejuaje[emoji16][emoji16][emoji16] salute kwakoJamiiforum
Jamiiforum
Jamiiforum
Jamiiforum
Xxx videos..[emoji28]
Najua hii ya mwisho wengi hawataisema lkn nimeamua kujitungua tu! Ila ukweli wengi wao ni wahanga...[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jamiiforum
Jamiiforum
Jamiiforum
Jamiiforum
Xxx videos..[emoji28]
Najua hii ya mwisho wengi hawataisema lkn nimeamua kujitungua tu! Ila ukweli wengi wao ni wahanga...[emoji23]
hongera mkuuJf
Quora
right, jf ni ya pekee sana, mda wangu mwingi wa kuperuzi huutumia jfMkuu tangu nilipoanza kuifahamu jf 2014 sijawai kuiacha kamwe yani mda mwingi nakuwa jf kiufupi jf napata madini sana juu ya mambo mbalimbali
hongera sana mkuuJamiiforums
hongera mkuu
Jf
Teregrm
Tiktok
download hiyo app kisha anza kuitumia utaona utofauti wake ulivo na instagram kwa maelezo zaid soma apa chini toka wikipediaTofauti ya instagram na pinterest ni nn?
Mkuu jf is the best social media kwangu najifunza vitu vipya kila siku iitwayo leoright, jf ni ya pekee sana, mda wangu mwingi wa kuperuzi huutumia jf
hakika mkuuMkuu jf is the best social media kwangu najifunza vitu vipya kila siku iitwayo leo
natumai hamjambo wakuu,
karibuni hapa ku-share top 5 ya mitandao yenu pendwa ya kijamii, binafsi listi yangu ipo hivi:
1.Jamii forums
2.Jamii forums
3.Jamii forums
4.Quora
5.Mocospace
hongera mkuu1. CCM.COM
2. CHADEMA.COM
3. JAMIIFORUMS.COM
4 .SHILAWADU.COM
5. SIMBASPORTS,COM