naihitaji hhuduma ya massage pls
Jamani naomba mnisamehe nisipokwenda kazini nitakufa njaa bure mjini hapa.
Nalog off
Nimeipenda customer care ya hii saloon ya waganga njaa wa JF
waganga njaa tena bidada?
Hii ni intaneshno bhana!
Karibu
kwa kweli huwa napata mapokezi mazuri sana pale saloon, na huwa napendezeshwa kwelikweli, nikitoka hapo lazima waniulize nawasaidia sana kutangaza biashara
Ni sh 5350 mnyoaji Washawasha na Excellent...sijui wataka style gani kipara au mchicha n.k
Hahahahaaha tena na wanawake vimbwebwe kiunoni lol.
Bidada nataka kunyoa kiduku afu next time nitanyoa fidodido!!!!!!! :A S-confused1: :A S-confused1:
nimekumiss mrembo miss wa kinyarukwa kweli huwa napata mapokezi mazuri sana pale saloon, na huwa napendezeshwa kwelikweli, nikitoka hapo lazima waniulize nawasaidia sana kutangaza biashara
Walileta oda warembo nane,ila bosi kanihamishia kitengo cha kunyoa,idara MAALUM!
Excellent na Washawasha wanyoaji wazuri tu.....utanyolewa taratibuuu
poa shost, ila haiwezekani kichwa kimoja kikanyolewa na vinyozi wawili?