Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
- Thread starter
-
- #21
Mnyolewa ati ndiye anayeona raha,we humuoni jinsi anavyotulia wakati akinyolewa? basi pale huwa anaona RAHAAAA.Hasa mnyolewaji akiwa wa jinsia ya kike ndio huwa nampa raha sana.Kinyozi na Mnyolewa, njooni mtufunulie ni nani mwenye kusikia raha?
nimeshamjibu teyari,mnyolewa ndiye anayeona raha.Hahahahahah hebu kuja Washawasha ujibu swali la dada.
mimi huwa nawaachaga peke yenu ila nikirudi ndio huwa nawakuta wateja wanasubiri kunyolewa na kusukwa.Hahahahaha sio kweli si kunakua na wateja wengine lakini.
mimi huwa nawaachaga peke yenu ila nikirudi ndio huwa nawakuta wateja wanasubiri kunyolewa na kusukwa.
Nalog off
hii hapa kataa tuone!Hahahahaah jamani.
hii hapa kataa tuone!
Nalog off
Nimechoka kusukwa na farkhina ananivutaga sana nataka uninyoe Washawasha
Hivi bikini wax ni sh ngapi?
Nanii sio kubwa sana
Heheh....msitu umezidi hadi wakata kona sasa eenh
Walaaa. Garden is well trimmed. Nataka kubadilisha style iwe kipara. Si unajua style moja inachosha?
Hivi mmeshazindua ile huduma ya kunyoa "pubic hair" !??