Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
- Thread starter
- #161
Hapana kaka Jerrymsigwa,huyo ni farkhina akiwa kazini hapo.ngoja Excellent arudi na remote(maana masaa yote anatembea nayo mfukoni kama simu vile) tuweke muziki umuone akicheza aisee huyu bibie kaumbika.Washawasha huyo dada alieshika bomba jeusi na gauni la mistari mistari dah hiyo nguo ni kiboko, yani mbele tu anaonekana hivyo, sipat picha akigeuka. Mambo ya Mozambique hayo nini mkuu?
Nalog off
Last edited by a moderator: