Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

Wekeni kopi za TIN no. ,leseni ya biashara na kopi ya BRELA ndo tutawaamini
Hizo nyaraka wanafoji siku hizi wewe, waambie hiyo ADA wakate huko huko kwenye mkopo wako kabla hawajakupatia. Sawa sawa?
 
Wanasema ukiona fursa imekaa kiulaini jua wewe unaeshawishika ndio fursa mwenyewe ya kupuruswa pesa.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi wacha nijichange tu nitatoka kwa msaada wa MUNGU
 
Habari wakuu katika pitapita zangu humu jf nimekutana na huu uzi wa mkuu great kali binafsi nilikuwa na mawili au matatu ya kuzungumza juu ya hiyo kampuni japokuwa kila mmoja ana imani yake naomba nianze hivi mnamo tar 22/06/2018 nilikutana na tangazo la huyu jamaa na nambari zake za simu ni hizo hizo nikafanya nae mawasiliano nikihitaji mkopo wa tsh 4,000,000 nikamuuliza juu ya vigezo akinielezea finally shughuli ikaja kwenye kutuma pesa ya surveyor aje kukagua aisee kwa mambo ya mtandao yalivyo ilinichukulia takribani siku tatu kufikiria mwisho wa siku nikajitoa kimaso maso nikatuma pesa ya surveyor nikiamini kama nimehonga pesa yangu baada ya siku moja surveyor alifika ofisini kwangu na kukagua ilichukuwa siku moja kufika kwa sababu ofisi zao zipo mpanda baada ya surveyor kufika aliidhinisha mkopo wangu wa 4,000,000 kama picha inavyoonyesha hapo chini,sina la zaidi.
BARIKIWAView attachment 800855
Kwahiyo kulikuwa na haja gani ya kuprint huo mfano wa cheque halafu kupiga nao picha utadhani ni mshindi wa tatu mzuka anapewa pesa yake ya ushindi?!
 
Naomba mkopo wa 750,000/- kwa ajili ya mradi wa nguruwe na kuku,kurejesha ndani ya miezi 6 naomba grace period ya mwezi 1
 
Back
Top Bottom