Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

Sasa mkuu kama nihivyo kwanini asije kwa gharama za office then nalipia after.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mbululaz ztapigwa ivi ivi hii ni miradi bubu ya Wazawa ni wezi hao stukeni
 
Hawa siyo feki kweli???

 
Nipo mkuu nia ya kutoa mkopo bila riba ni kujitangaza kwanza. Then hapo baadae sana ndiyo tutaweka system ya riba
Siyo kweli amna biashara ya namna hii hata siku moja, ina maana nyie mnatoa pesa ya mkopo bila riba, mnapata faida gani?, mnawezaje kuendesha ofisi kwa kulipa kodi na gharama nyingine?. wewe ni tapeli amna ofa ya namna hii. Huo sio mkopo, 100% wewe ni tapeli, ameona atumie hiyo gear ya eti amna riba awapate watanzania maana wanapenda vitu nafuu au bure afu awapige, mwenye akili anajua ya bure ghali, ukisha sema wewe ni taasisi unatoa mkopo lazima riba iwepo ili mnufaike na mlipe kodi.
 
We kwenye hiyo kampuni upo kwa bahati mbaya naona...wewe instead of kumuelekeza unataka huruma zetu...may be ni potential customer akielekezwa in and out...jifunzeni saa zingine
Huyu alikuwa ni tapeli ni kampuni gani inaweza kumuajiri mtu kama huyu awe afisa mkopo labda, yaani ukiwa mtupu ni mtupu tu....
 
Huyu tapeli mwizi sijui alipotelea wapi, yaani majizi vibaka bhna hata technique za kuiba hii Karne ya 21 hajui...
 
Wakuu hiv mpaka sasa ni wangapi tayari wamenufaika na huu mkopo au hata kama umeumizwa sema tu yamkin wakawa wapigaji hawa
 
Kumbe kama hataidhinisha kupewa mkopo huwa unarudishiwa pesa yako,sasa si bora Ada ikatwe kwenye mkopo?
 
Wekeni kopi za TIN no. ,leseni ya biashara na kopi ya BRELA ndo tutawaamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…