Karibu "rafiki yangu" military genius General Paul Kagame

Karibu "rafiki yangu" military genius General Paul Kagame

Kama binadamu ana mazuri yake nayo....

Mgeni wetu El Comandante Kagame amedhibiti UHOLELA WA NYUMBA ZA IBADA.....MISIKITI NA MAKANISA YA KIHOLELA ....kwa Jenerali Kagame hakutokei haya ya akina McKenzie......

#Mgeni Karibu Nchi Bora Tanzania
#ZidumuFikraZaNyerere
#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ukiniambia nikae mbele ya TV asubuhi mchana usiku kwa ajili ya kumuangalia Military GENIUS General Paul Kagame siwezi kuchoka wala kusita! Sikatazwi kusema Paul ni mmoja ya viongozi bora wa kizazi chake kuwahi kutokea Africa na duniani!

Sifa kubwa ya Ofisa yoyote wa Jeshi ni kuwa na ujeuri kutoka ndani ya kichwa na hata moyo wake kwamba anaweza kufanya chochote chini ya dunia hii!Ofisa wa Jeshi training yake "inamuinject" uwezo wa kufanya jambo au shughuli yoyote kwa usahihi,uharaka na ubora wa viwango vilivyotukuka!

Ujeuri huo unapatikana kupitia kwa mafunzo maalum "sequntial planned activities"yenye kuvujisha damu na jasho wakati wote wa mafunzo na mwisho wa siku ndio maana unaona wanajeshi wengi"Ofisa" ni watu kufanya kitu kwa matokeo na ubora usiotiliwa shaka!

General Paul kagame yupo katika mpango wa kufa na kupona wa kuifanya Rwanda kuwa Taifa kubwa Afrika kabla ya mwaka 2050 na bahati nzuri wanyarwanda wanamuelewa vizuri sana ndio maana hakukuwa na kelele zozote pale mapendekezo ya kubadilisha Katiba ili Paul aongezewe muda wa kuingoza Rwanda!

Kiongozi wa ngazi ya Paul lazima uwe na maono yasiyofutika kichwani kuhusu aina gani ya Taifa ambalo unataka kulitengeneza lakini zaidi lazima ujue wazi kabisa kuwa maslahi ya Taifa lako yanapatikana kwanza ndani kwako na zaidi kwa jirani yako! "Imperialism".

Mimi pia ni muumini wa kuyatafuta maslahi ya Taifa langu kwenye mipaka ya watu wengine zaidi!Uwezo wa Taifa kutoka katika mipaka yake na kwenda "kumtongoza" jirani ndio sifa kubwa ya Paul Kagame!Paul ndani ya muda mfupi kashafanya ziara nyingi barani Afrika labda kuliko Kiongozi yoyote wa kitaifa barani humu!

Paul ni muumini pia wa falsafa ya Uongozi na kijeshi ya "kucheza mpira" kwenye eneo la adui zake!Paul aliwahi kunukuliwa akisema kuwa yeye anapigana vita ndani ya mipaka ya adui zake!Ujeuri wa Paul Kagame tulimpa wenyewe pale Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha"Cadet Course" moja kati ya eneo ambalo mimi mwenyewe naliheshimu sana na kulijua vizuri!

Nina mengi ya kusema kuhusu Paul Kagame,lakini niseme tu heshima yako Afande General Paul Kagame!
Nataka ujue kuwa Mimi ni mmoja wa waumini wa Uongozi wako!Kila hatua unayopiga wewe binafsi na Taifa lako la Rwanda naiangalia kwa umakini mkubwa kwa maslahi ya Tanzania yangu ya kesho!

Paul najua aina ya Rwanda ambayo ipo kichwani kwako,hata Mimi pia nina Tanzania yangu kichwani kwangu!Namuomba Mungu siku nipate nafasi hiyo ya kuijenga Tanzania ambayo ipo kichwani kwangu!Ninayo Tanzania yangu ninayo mchoro wa ramani yangu ambayo ni kuifanya Tanzania kuwa Taifa kubwa Afrika!

General Paul Kagame, Mimi George Michael Uledi na wewe tunatembea katika ndoto moja labda kwa vile tumewahi kuishi pale "Nengungu".

I salute you afande GENERAL Military Genius,Paul Kagame of Kigali!

+255746726484.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mkuu ushawahi kukaa rwanda na unazijua sifa za siasa za rwanda.Na unajua military back up ya RPF?????????
 
Ukiniambia nikae mbele ya TV asubuhi mchana usiku kwa ajili ya kumuangalia Military GENIUS General Paul Kagame siwezi kuchoka wala kusita! Sikatazwi kusema Paul ni mmoja ya viongozi bora wa kizazi chake kuwahi kutokea Africa na duniani!

Sifa kubwa ya Ofisa yoyote wa Jeshi ni kuwa na ujeuri kutoka ndani ya kichwa na hata moyo wake kwamba anaweza kufanya chochote chini ya dunia hii!Ofisa wa Jeshi training yake "inamuinject" uwezo wa kufanya jambo au shughuli yoyote kwa usahihi,uharaka na ubora wa viwango vilivyotukuka!

Ujeuri huo unapatikana kupitia kwa mafunzo maalum "sequntial planned activities"yenye kuvujisha damu na jasho wakati wote wa mafunzo na mwisho wa siku ndio maana unaona wanajeshi wengi"Ofisa" ni watu kufanya kitu kwa matokeo na ubora usiotiliwa shaka!

General Paul kagame yupo katika mpango wa kufa na kupona wa kuifanya Rwanda kuwa Taifa kubwa Afrika kabla ya mwaka 2050 na bahati nzuri wanyarwanda wanamuelewa vizuri sana ndio maana hakukuwa na kelele zozote pale mapendekezo ya kubadilisha Katiba ili Paul aongezewe muda wa kuingoza Rwanda!

Kiongozi wa ngazi ya Paul lazima uwe na maono yasiyofutika kichwani kuhusu aina gani ya Taifa ambalo unataka kulitengeneza lakini zaidi lazima ujue wazi kabisa kuwa maslahi ya Taifa lako yanapatikana kwanza ndani kwako na zaidi kwa jirani yako! "Imperialism".

Mimi pia ni muumini wa kuyatafuta maslahi ya Taifa langu kwenye mipaka ya watu wengine zaidi!Uwezo wa Taifa kutoka katika mipaka yake na kwenda "kumtongoza" jirani ndio sifa kubwa ya Paul Kagame!Paul ndani ya muda mfupi kashafanya ziara nyingi barani Afrika labda kuliko Kiongozi yoyote wa kitaifa barani humu!

Paul ni muumini pia wa falsafa ya Uongozi na kijeshi ya "kucheza mpira" kwenye eneo la adui zake!Paul aliwahi kunukuliwa akisema kuwa yeye anapigana vita ndani ya mipaka ya adui zake!Ujeuri wa Paul Kagame tulimpa wenyewe pale Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha"Cadet Course" moja kati ya eneo ambalo mimi mwenyewe naliheshimu sana na kulijua vizuri!

Nina mengi ya kusema kuhusu Paul Kagame,lakini niseme tu heshima yako Afande General Paul Kagame!
Nataka ujue kuwa Mimi ni mmoja wa waumini wa Uongozi wako!Kila hatua unayopiga wewe binafsi na Taifa lako la Rwanda naiangalia kwa umakini mkubwa kwa maslahi ya Tanzania yangu ya kesho!

Paul najua aina ya Rwanda ambayo ipo kichwani kwako,hata Mimi pia nina Tanzania yangu kichwani kwangu!Namuomba Mungu siku nipate nafasi hiyo ya kuijenga Tanzania ambayo ipo kichwani kwangu!Ninayo Tanzania yangu ninayo mchoro wa ramani yangu ambayo ni kuifanya Tanzania kuwa Taifa kubwa Afrika!

General Paul Kagame, Mimi George Michael Uledi na wewe tunatembea katika ndoto moja labda kwa vile tumewahi kuishi pale "Nengungu".

I salute you afande GENERAL Military Genius,Paul Kagame of Kigali!

+255746726484.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Usimpe sifa askari muoga,anayeogopa kwenda frontline,yupo tofauti sana na Kanali Habriymana au swaiba wake General Mobutu.Afande PS ni kiongozi anayetumia turufu ya ukabila kukaa madarakani,nani kakuambia wanyarwanda wote wanampenda??????.Siku serikali ya Tanzania na Uganda zitakaporuhusu wakimbizi wa kinyarwanda wafuasi wa NRMD,RDA,PRA,MMDR.Wakiongozwa na mabaki ya majenerali wa FAR waweke kambi za kijeshi na kuanza kufanya training,bas ujue RPF wamefikia mwisho.Ni kama ambavyo mwaka 1988 serikali ya Uganda ilivyoruhusu RPF waweke kambi za training na huo ndio ulikua muanguko wa FAR na Kanali Habriymana.
 
Mabangi haya bana! Mtu anaongoza kawilaya anasifiiiwa humu umwangalie siku nzima siUtoto huo hunakazi unasifia kichawa sana. Jifanye Wewe mkubwa kwanza kabla ya kujidai utaifanya Tz kubwa
 
Mkuu ushawahi kukaa rwanda na unazijua sifa za siasa za rwanda.Na unajua military back up ya RPF?????????
Kwa sasa Rwanda imewekeza mno kwenye ulinzi hasa za kiteknolojia kama drones, howitzers za kutosha, hata RDF ni moja ya majeshi bora ukanda huu, rejea mission yao hapo Msumbiji walivyofanikiwa kuwarudisha nyuma wale magaidi.

T14 Armata
 
The butcher of congDR, a person with unquenchable thirsty for blood.

Naona idara ya usalama ya Rwanda, kwa majina feki, wameanza kumpamba humu. Atamaliza maisha yake bila kuimega DRC.

Na Sasa wamejaa wanajeshi wa nchi kadhaa, hali ndio imezidi kuwa mbaya, anashindwa aingieje
Wacongo wamshukuru Kagame, aliwaondolea lile dikteta lililokuwa linawaua kama kuku kwa karibu miaka 40 huku likisomba mali kupeleka kwa wazungu, lakini wacongo wamekalia uchawi, ukabila na kucheza ngoma tuu, leo yanauana kuliko wakati wa Mobutu kwa ajiri ya ukabila, na kisingizio chao ni kimoja tuu Kagame, congolese waache ukabila na ujinga wataishia kumalizana
 
Mabangi haya bana! Mtu anaongoza kawilaya anasifiiiwa humu umwangalie siku nzima siUtoto huo hunakazi unasifia kichawa sana. Jifanye Wewe mkubwa kwanza kabla ya kujidai utaifanya Tz kubwa
Huna idea unachoongea, unaijua Rwanda? mbona Belgium ndogo kuliko Rwanda lakini ni tajiri kuliko nchi zote za Africa, ukubwa wa eneo sio issue
 
Pandikizi la Kinyarwanda linaposema lina ramani ya Tanzania yake
 
I love this person kwa msimamo wake kwa kweli!
Lakini alituchapa michuzi yetu
Atarudisha tu walahi![emoji2959]
 
Kwa sasa Rwanda imewekeza mno kwenye ulinzi hasa za kiteknolojia kama drones, howitzers za kutosha, hata RDF ni moja ya majeshi bora ukanda huu, rejea mission yao hapo Msumbiji walivyofanikiwa kuwarudisha nyuma wale magaidi.

T14 Armata
Mkuu kuhusu msumbiji,mbona kazi kubwa ilifanywa na JWTZ walienda kule kimya kimya kabla hata ya RDF na maamuzi ya SADC...!!!Pia mkuu ubora wa jeshi haupimwi kwa vifaa bali ufanisi kwenye uwanja wa mapambano kama walivyofanya JWTZ kule Goma.Hata FAR walikua na silaha bora ila walipinduliwa na RPF mwaka 1994
 
Back
Top Bottom