Karibu "rafiki yangu" military genius General Paul Kagame

Karibu "rafiki yangu" military genius General Paul Kagame

Wacongo wamshukuru Kagame, aliwaondolea lile dikteta lililokuwa linawaua kama kuku kwa karibu miaka 40 huku likisomba mali kupeleka kwa wazungu, lakini wacongo wamekalia uchawi, ukabila na kucheza ngoma tuu, leo yanauana kuliko wakati wa Mobutu kwa ajiri ya ukabila, na kisingizio chao ni kimoja tuu Kagame, congolese waache ukabila na ujinga wataishia kumalizana
Mkuu umewahi kukaa DRC toka watusi wa banyamulenge wamsaidie kabila kuchukua madaraka na hali ya kivu kusini na kivu kaskazini baada ya mobutu unaijua?????.Una hakika wacongo wanawashukuru watusi.Nolikua kisangani wakati majeshi ya mobutu yamezidiwa na kukimbia,walichokifanya hawa banyamulenge na waganda hata mzee kabila hakufurahishwa nacho kabisa.
 
Kwa sasa Rwanda imewekeza mno kwenye ulinzi hasa za kiteknolojia kama drones, howitzers za kutosha, hata RDF ni moja ya majeshi bora ukanda huu, rejea mission yao hapo Msumbiji walivyofanikiwa kuwarudisha nyuma wale magaidi.

T14 Armata
Rwanda ina jeshi standard kidogo kulingana na priorities zake. Silaha zao kadhaa zina uwezo ila kama kawaida yao wananunua kwa namba kidogo kutokana na bajeti yao ndogo. Pia hawana airforce.

Na hilo jeshi linaloonekana bora uko Msumbiji ni kwa vile wanatuma contingency ya wachache na kuipa best gears. Ukiingia nao vita watatoa kila kitu na uniform mbovu mbovu na armours zilizochoka. Missions zao ni PR sana.

Ila wako battle hardened kuliko majirani zao na preparedness yao huwa naamini iko juu
 
Ukiniambia nikae mbele ya TV asubuhi mchana usiku kwa ajili ya kumuangalia Military GENIUS General Paul Kagame siwezi kuchoka wala kusita! Sikatazwi kusema Paul ni mmoja ya viongozi bora wa kizazi chake kuwahi kutokea Africa na duniani!

Sifa kubwa ya Ofisa yoyote wa Jeshi ni kuwa na ujeuri kutoka ndani ya kichwa na hata moyo wake kwamba anaweza kufanya chochote chini ya dunia hii!Ofisa wa Jeshi training yake "inamuinject" uwezo wa kufanya jambo au shughuli yoyote kwa usahihi,uharaka na ubora wa viwango vilivyotukuka!

Ujeuri huo unapatikana kupitia kwa mafunzo maalum "sequntial planned activities"yenye kuvujisha damu na jasho wakati wote wa mafunzo na mwisho wa siku ndio maana unaona wanajeshi wengi"Ofisa" ni watu kufanya kitu kwa matokeo na ubora usiotiliwa shaka!

General Paul kagame yupo katika mpango wa kufa na kupona wa kuifanya Rwanda kuwa Taifa kubwa Afrika kabla ya mwaka 2050 na bahati nzuri wanyarwanda wanamuelewa vizuri sana ndio maana hakukuwa na kelele zozote pale mapendekezo ya kubadilisha Katiba ili Paul aongezewe muda wa kuingoza Rwanda!

Kiongozi wa ngazi ya Paul lazima uwe na maono yasiyofutika kichwani kuhusu aina gani ya Taifa ambalo unataka kulitengeneza lakini zaidi lazima ujue wazi kabisa kuwa maslahi ya Taifa lako yanapatikana kwanza ndani kwako na zaidi kwa jirani yako! "Imperialism".

Mimi pia ni muumini wa kuyatafuta maslahi ya Taifa langu kwenye mipaka ya watu wengine zaidi!Uwezo wa Taifa kutoka katika mipaka yake na kwenda "kumtongoza" jirani ndio sifa kubwa ya Paul Kagame!Paul ndani ya muda mfupi kashafanya ziara nyingi barani Afrika labda kuliko Kiongozi yoyote wa kitaifa barani humu!

Paul ni muumini pia wa falsafa ya Uongozi na kijeshi ya "kucheza mpira" kwenye eneo la adui zake!Paul aliwahi kunukuliwa akisema kuwa yeye anapigana vita ndani ya mipaka ya adui zake!Ujeuri wa Paul Kagame tulimpa wenyewe pale Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha"Cadet Course" moja kati ya eneo ambalo mimi mwenyewe naliheshimu sana na kulijua vizuri!

Nina mengi ya kusema kuhusu Paul Kagame,lakini niseme tu heshima yako Afande General Paul Kagame!
Nataka ujue kuwa Mimi ni mmoja wa waumini wa Uongozi wako!Kila hatua unayopiga wewe binafsi na Taifa lako la Rwanda naiangalia kwa umakini mkubwa kwa maslahi ya Tanzania yangu ya kesho!

Paul najua aina ya Rwanda ambayo ipo kichwani kwako,hata Mimi pia nina Tanzania yangu kichwani kwangu!Namuomba Mungu siku nipate nafasi hiyo ya kuijenga Tanzania ambayo ipo kichwani kwangu!Ninayo Tanzania yangu ninayo mchoro wa ramani yangu ambayo ni kuifanya Tanzania kuwa Taifa kubwa Afrika!

General Paul Kagame, Mimi George Michael Uledi na wewe tunatembea katika ndoto moja labda kwa vile tumewahi kuishi pale "Nengungu".

I salute you afande GENERAL Military Genius,Paul Kagame of Kigali!

+255746726484.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Subiri siku atakapo anza kudai Ngara ni sehemu ya Rwanda na Wahangaza ni Watutsi wanaoteswa Tanzania Kama ilivyo Congo ya Kivu na Wanyamulenge.
 
Ukiniambia nikae mbele ya TV asubuhi mchana usiku kwa ajili ya kumuangalia Military GENIUS General Paul Kagame siwezi kuchoka wala kusita! Sikatazwi kusema Paul ni mmoja ya viongozi bora wa kizazi chake kuwahi kutokea Africa na duniani!

Sifa kubwa ya Ofisa yoyote wa Jeshi ni kuwa na ujeuri kutoka ndani ya kichwa na hata moyo wake kwamba anaweza kufanya chochote chini ya dunia hii!Ofisa wa Jeshi training yake "inamuinject" uwezo wa kufanya jambo au shughuli yoyote kwa usahihi,uharaka na ubora wa viwango vilivyotukuka!

Ujeuri huo unapatikana kupitia kwa mafunzo maalum "sequntial planned activities"yenye kuvujisha damu na jasho wakati wote wa mafunzo na mwisho wa siku ndio maana unaona wanajeshi wengi"Ofisa" ni watu kufanya kitu kwa matokeo na ubora usiotiliwa shaka!

General Paul kagame yupo katika mpango wa kufa na kupona wa kuifanya Rwanda kuwa Taifa kubwa Afrika kabla ya mwaka 2050 na bahati nzuri wanyarwanda wanamuelewa vizuri sana ndio maana hakukuwa na kelele zozote pale mapendekezo ya kubadilisha Katiba ili Paul aongezewe muda wa kuingoza Rwanda!

Kiongozi wa ngazi ya Paul lazima uwe na maono yasiyofutika kichwani kuhusu aina gani ya Taifa ambalo unataka kulitengeneza lakini zaidi lazima ujue wazi kabisa kuwa maslahi ya Taifa lako yanapatikana kwanza ndani kwako na zaidi kwa jirani yako! "Imperialism".

Mimi pia ni muumini wa kuyatafuta maslahi ya Taifa langu kwenye mipaka ya watu wengine zaidi!Uwezo wa Taifa kutoka katika mipaka yake na kwenda "kumtongoza" jirani ndio sifa kubwa ya Paul Kagame!Paul ndani ya muda mfupi kashafanya ziara nyingi barani Afrika labda kuliko Kiongozi yoyote wa kitaifa barani humu!

Paul ni muumini pia wa falsafa ya Uongozi na kijeshi ya "kucheza mpira" kwenye eneo la adui zake!Paul aliwahi kunukuliwa akisema kuwa yeye anapigana vita ndani ya mipaka ya adui zake!Ujeuri wa Paul Kagame tulimpa wenyewe pale Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha"Cadet Course" moja kati ya eneo ambalo mimi mwenyewe naliheshimu sana na kulijua vizuri!

Nina mengi ya kusema kuhusu Paul Kagame,lakini niseme tu heshima yako Afande General Paul Kagame!
Nataka ujue kuwa Mimi ni mmoja wa waumini wa Uongozi wako!Kila hatua unayopiga wewe binafsi na Taifa lako la Rwanda naiangalia kwa umakini mkubwa kwa maslahi ya Tanzania yangu ya kesho!

Paul najua aina ya Rwanda ambayo ipo kichwani kwako,hata Mimi pia nina Tanzania yangu kichwani kwangu!Namuomba Mungu siku nipate nafasi hiyo ya kuijenga Tanzania ambayo ipo kichwani kwangu!Ninayo Tanzania yangu ninayo mchoro wa ramani yangu ambayo ni kuifanya Tanzania kuwa Taifa kubwa Afrika!

General Paul Kagame, Mimi George Michael Uledi na wewe tunatembea katika ndoto moja labda kwa vile tumewahi kuishi pale "Nengungu".

I salute you afande GENERAL Military Genius,Paul Kagame of Kigali!

+255746726484.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ww ni SAKALA kweli kweli. Hujui ulinenalo ndio maana hata Jina Unatumia la Marehemu Brazza rafiki wa familia yetu Mwandishi wa Habari wa zamani ITV na Radio One. R.I.P Michael Uledi. Tulikupenda Sana lakini Mungu alikupenda zaidi.
 
Ww ni SAKALA kweli kweli. Hujui ulinenalo ndio maana hata Jina Unatumia la Marehemu Brazza rafiki wa familia yetu Mwandishi wa Habari wa zamani ITV na Radio One. R.I.P Michael Uledi. Tulikupenda Sana lakini Mungu alikupenda zaidi.
Acha ujinga mbuzi wewe, hamna hati miliki na hilo jina na wako wengi sana with the same name
 
Mkuu umewahi kukaa DRC toka watusi wa banyamulenge wamsaidie kabila kuchukua madaraka na hali ya kivu kusini na kivu kaskazini baada ya mobutu unaijua?????.Una hakika wacongo wanawashukuru watusi.Nolikua kisangani wakati majeshi ya mobutu yamezidiwa na kukimbia,walichokifanya hawa banyamulenge na waganda hata mzee kabila hakufurahishwa nacho kabisa.
Congolese waache kumsingizia Kagame matatizo yao kwa ajiri ya banyamurenge , vipi sasa ambapo kuna makundi zaidi ya 20 yanapigana ndani ya Congo based kwenye ukabila? ukabila unawamaliza wacongo waache kusingizia Rwanda, walishatoka huko miaka mingi sana na walikuwa na kila sababu ya kuivamia Congo, na banyamurenge wana kila haki ya kujitetea maana congolese wameshalishwa sumu wale ndio wabaya wao, kwa nini kabla ya interahamwe kuingia Congo haujawahi kusikia banyamurenge? nina uhakika unajua sababu
 
Congolese waache kumsingizia Kagame matatizo yao kwa ajiri ya banyamurenge , vipi sasa ambapo kuna makundi zaidi ya 20 yanapigana ndani ya Congo based kwenye ukabila? ukabila unawamaliza wacongo waache kusingizia Rwanda, walishatoka huko miaka mingi sana na walikuwa na kila sababu ya kuivamia Congo, na banyamurenge wana kila haki ya kujitetea maana congolese wameshalishwa sumu wale ndio wabaya wao, kwa nini kabla ya interahamwe kuingia Congo haujawahi kusikia banyamurenge? nina uhakika unajua sababu
Mkuu unawajua wanyarwanda waliolowea kwenye milima ya mulenge na tabia zao na ajenda zao na hulka zao????? Au unaongea mitazamo ya mitandaoni mkuu???
 
Mkuu unawajua wanyarwanda waliolowea kwenye milima ya mulenge na tabia zao na ajenda zao na hulka zao????? Au unaongea mitazamo ya mitandaoni mkuu???
Banyamulenge wapo Congo tangu miaka ya 1800 bado mnawaita walowezi, na hizi story za ajenda au hulka ndio ukabila wenyewe huo, walianza na banyamulenge leo zaidi ya makabila 20 yanachapana, ukabila utawaliza wacongo na idea ya kuwafuta banyamulenge will backfire kama interahamwe wa Rwanda
 
Banyamulenge wapo Congo tangu miaka ya 1800 bado mnawaita walowezi, na hizi story za ajenda au hulka ndio ukabila wenyewe huo, walianza na banyamulenge leo zaidi ya makabila 20 yanachapana, ukabila utawaliza wacongo na idea ya kuwafuta banyamulenge will backfire kama interahamwe wa Rwanda
Mkuu hakuna watu wanaitwa banyamulenge,,,,,,,hiyo ni milima ya mulenge wale ni banyarwanda...Issue sio banyarwanda ndani ya congo,bali issue ni banyarwanda wenye ajenda za WAHIMA za kutaka kutawala jamii nyingine na kutawala eneo lote la maziwa makuu.Hawana tofauti na sera za INTAREHAMWE AU INYENZI
 
Banyamulenge wapo Congo tangu miaka ya 1800 bado mnawaita walowezi, na hizi story za ajenda au hulka ndio ukabila wenyewe huo, walianza na banyamulenge leo zaidi ya makabila 20 yanachapana, ukabila utawaliza wacongo na idea ya kuwafuta banyamulenge will backfire kama interahamwe wa Rwanda
Mashariki mwa Congo DRC hakuna makabila ishirini yanachapana.....yataje kama yapo mkuu
 
Mkuu hakuna watu wanaitwa banyamulenge,,,,,,,hiyo ni milima ya mulenge wale ni banyarwanda...Issue sio banyarwanda ndani ya congo,bali issue ni banyarwanda wenye ajenda za WAHIMA za kutaka kutawala jamii nyingine na kutawala eneo lote la maziwa makuu.Hawana tofauti na sera za INTAREHAMWE AU INYENZI
Kumbe na wewe unaamini huu ujinga wa Hima empire, huu mjadala uishe,asante
 
Mk
Kumbe na wewe unaamini huu ujinga wa Hima empire, huu mjadala uishe,asante
Mkuu wewe unaongea issue za kusimuliwa mtandaoni ila mimi mtusi najua nachoongea...Nadhani hujui chochote kuhusu banyarwanda mkuu....Kuna swali nilikuuliza ukalikwepa kuhusu hayo makundi zaidi ya 20 yanayopigana DRC
 
Mk
Mkuu wewe unaongea issue za kusimuliwa mtandaoni ila mimi mtusi najua nachoongea...Nadhani hujui chochote kuhusu banyarwanda mkuu....Kuna swali nilikuuliza ukalikwepa kuhusu hayo makundi zaidi ya 20 yanayopigana DRC
Wala sio 20 walioko huko wanadai ni zaidi ya 120
 
Back
Top Bottom