Karibu sana Chalamila Dar es Salaam, sisi wanywaji wa bia tunakuunga mkono

Mioyo yetu iko kwake. Bia ina mchango mkubwa kwe uchumi. Nyerere aliwaomba makasisi, watumishi na vioongozi wa dini kunywa bia baada ya vita vya Iddi Amini / Uganda li kuokoa uchumi
Wacha sasa tuanze kuzitandika gambe mimi kama kawaida nipo na castle lager kuubwa sifuati mkumbo
 
Hapo sasa
 
Namnukuu,

SISI WANAUME NI WAWOTE🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
In chalamila voice
 
Wacha kila mtu ajipendelee kwa kila anacho ona kinamfaa
Nimeshasema hilo ila unatakiwa kujua huna haki ya kukera wengine eti kwa kuwa wewe unapata furaha,furaha yako sio furaha ya kila mtu.
 
Nimeshasema hilo ila unatakiwa kujua huna haki ya kukera wengine eti kwa kuwa wewe unapata furaha,furaha yako sio furaha ya kila mtu.
Pole sana ndugu yetu sie ndiyo twagonga mvinyoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…