Wacha sasa tuanze kuzitandika gambe mimi kama kawaida nipo na castle lager kuubwa sifuati mkumboMioyo yetu iko kwake. Bia ina mchango mkubwa kwe uchumi. Nyerere aliwaomba makasisi, watumishi na vioongozi wa dini kunywa bia baada ya vita vya Iddi Amini / Uganda li kuokoa uchumi
Hapo sasaJamaa anakwambia walokole waliwahi kwenda kwake kulalamika bar zinawapigia kelele, nae akawaambia hata walevi nao waliwahi kuja kwangu kulalamika mnawapigia kelele kwa mikesha yenu!.
Mwishowe akairudisha kesi kwao, yeyote anayeweza kumbadilisha mwenzie na afanye hivyo, kama mlokole ukiweza kumshawishi mlevi aache pombe kazi kwako, na kama mlevi ukiweza kumshawishi mlokole akufuate bar shwari tu..
Chalamila ni genious.
sasa mbona unatufuatafuata ?Hata hivyo sijawaowa.
Namnukuu,Sisi wakaazi wa jiji la Dar es Salaam tupo tayari kukupokea na kukupa ushirikiano ndugu Chalamila.
Wana Dar es salaam tunaweza kuchangia mapato ya Serikali kwa kiulaini sana kupitia kupiga tungi a.k.a gambe. Unaonyesha utaiweza sana Dar es Salaam kwani wana Dar wengi wao ni wanachama wenzako na wanafuata falsafa zako za kunywa sana bia.
Karibu sana mwenyekiti mtaafu wa CCM.
Nishakutumia mzeeUkitaka nikuunge tuma aftatu kwa namba hiiView attachment 2624841
Nishakutumia mzee
Nakuunga faster, network Iko chini kidogoNishakutumia mzee
😊😊Hana ubaya
Simfuati yeyote ni haki yangu tu nikiwa kama Member wa JF kutoa maoni yangu kadri ninavyoona inafaa.sasa mbona unatufuatafuata ?
hahahahahahaha
[emoji2]Huyo amejawa na makasiliko
Nimeshasema hilo ila unatakiwa kujua huna haki ya kukera wengine eti kwa kuwa wewe unapata furaha,furaha yako sio furaha ya kila mtu.Wacha kila mtu ajipendelee kwa kila anacho ona kinamfaa