Karibu Tanga Bi Mkubwa, hapa ndio nyumbani kwa wadigo na wabondei, hapa ndio nyumbani kwa wasambaa na wazigua

Nenda ukalewe ..Sisi tuna race yetu wala hatuwajui kwa hiyo mambo ya huku hayakuhusu, tuliza kibox manyoya !
Ha ha ha ha huyo hobobo huyo zwazwa hana adabu ,utu wala akili... namfahamu ni ndwanye mmoja tu .....
 
Nasikia kuna kontena limebeba shanga zinaletwa Tanga toka Pemba
Wewe wale "funza" waliotokana na tabia zako wameshafika katika CEREBRAL CORTEX....nilikukanya kuwa tabia hizo ni dhambi... matokeo yake ndiyo hayo unadhani kila mmoja ni kama wewe ....tumchangie mwenyekiti kamanda.....
 
Hahaha sister ndiyo maana mchaga hawezi kuoa mwanamke kutoka Tanga sababu ya uvivu wenu
Mvivu inakuhusu nn ? Mbona mambo ya kihanithi kujipa umuhimu kwenye maisha yetu , yule Barbana mbona hajaoa muoza meno ? Jamaa unajishtua huku kwetu hamna ishu kama hujui .

Kiufupi ssisi ni race tofauti na nyie hatujawahi kuwakubali kwa namna yoyote ile
 
Ha ha ha ha
 
Wajinga hao hata hicho chama chao hatukitaki pale mkoani kwetu ,kule ni CCM na CUF ... Hatuwez kuongozwa na ujinga wao ,kwanza tunataka kujitoa kanda yao ya kaskazini tuwe sehemu ya Dar es salaam siwezi kwenda Arusha kufuatilia ishu zangu ni ujinga.
Ha ha ha ha ha ha ila si wote mkuu wangu.....kila mtanzania aliyestaarabika anaijua thamani ya Tanzania na thamani yetu sisi wananchi wake....
 
Nyie mpendeni tu ila mtabaki hapo hapo na mahaba yenu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Maendeleo hamna mnakazania kumpenda nyie mpendeni tu wakuu
Mimi sikai Tanga mkuu....

Kazi ya serikali ni kutengeneza mazingira bora ya maendeleo....

Unataka kusema kuwa ule mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima Uganda kwenda Chongoleani udigoni umesitishwa na serikali ?!!

Unataka kusema si serikali hii ya mh.Samia inayojenga bandari ya pale Mwambani ?!!
 
Mmeletewa miradi wa Bomba la Mafuta cha ajabu Tanga hakuna vijana wallioenda shule wanaaoweza kucompete na soko la ajira, Mbunge wenu yupo hamumwambii hata awasaidie special programes za vijana ili walau operation ikianza basi muweze hata kupata ajira.

IT zinatoka hapo zinakwenda DRC, Burundi, Malawi, bonded Dar es salaam vijana wa Tanga mnapiga soga na hizo kazi zinafanywa na vijana wa temeke na kurasini Dar.
Bandari imeanza kuchangamka lakini wenyeji ni kama hawajui kinachoendelea wageni wanakuja wanapiga mishe wanaondoka.

Uchumi Tanga uko kwenye mikono ya wahindi, waarabu, wachaga, wapare na wasambaa wenyeji mmegeuka kuwa wapambe/machawa na makuwadi wa waarabu na wahindi kazi hakuna.

Mzunguko wa hela hakuna, wenyeji hawana direction ya maisha, vijana wadogo wakike na wakiume wamekaa majumbani hawaendi shule na hakuna muamko wakupeleka watoto shule au kuwekeza kwenye elimu, matokeo yake mabinti wengi wadogo wamebaki kujiuza hapo maeneo ya chichi, Sabasaba, Benbistro na wengine wanatega Tanga beach resort.

Sidhani kama mna sababu yeyote yakuishabikia CCM Tanga, maana CCM ndio imeua uchumi wa Tanga na hakuna juhudi zozote strong kuifanya Tanga kuwa strong economically kupitia resources zake.
 
Umeongea mengi mno kwa kujikita katika tabia za vijana wa Tanga....sasa CCM ndio iliyowafanya wawe na tabia hizo ?!!

CCM hiyohiyo haijawapa uvivu hao wachaga uliowataja.....

CCM hiyohiyo haijawapa uvivu WAPARE uliowataja.....


CCM hiyohiyo haijawapa uvivu WASAMBAA uliowataja.....
CCM hiyohiyo haijawapa uvivu WAARABU NA WAHINDI uliowataja.....

Tena ukawasifu vijana wa TEMEKE na KURASINI kwa kutokubali "kupewa uvivu" na hiyo CCM....mkuu hebu kuwa serious kidogo ,ha ha ha ha

Kazi kubwa ya serikali ya CCM ni kuujenga uchumi wa jiji la Tanga....

Bomba la mafuta kutoka Hoima Uganda mpaka "udigoni" Chongoleani ni fursa adhimu kwa vijana wenzangu wa Tanga......kusuka ama kunyoa ni kwao wao wenyewe.....

Kule Mwambani kutakuwa na bandari kubwa mno.....kusuka ama kunyoa ni kwa maswahiba zangu hao wa Chuda ,Chumbageni ,Ngamiani ,Raskazone ,Chumvini , Central-Majestic ,Chumbageni Twiga mpaka Mtupie , barabara za namba,magaoni na Mikanjuni....

BTW si mabinti wa Tanga tu wanaouza "nyaaap" hapo chichi ,Sabasaba na kutega kule Sahare Tanga Beach Resort.....nchi nzima hii baadhi ya MABINTI "wanatega kuuza...".
Humo ndani utakuta wasomi wa vyuo vikuu mpaka makazini.....

Kwa hiyo usitake kuwachafua akina Zaituni ,Mwanamkasi ,Mwamvita,Sikudhani,Libe ,Dori,Zainabu ,Rukia wa huko Duga ,Bombo Area na Kisosora ,ha ha ha ha ha

#Mama Samia apendwa mno huko Tanga !
#JMT milele dumu !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…