W Waaai JF-Expert Member Joined Jan 14, 2021 Posts 1,293 Reaction score 2,642 Apr 12, 2021 #61 Suluhisho ni serikali iingilie kati. Ikiwezekana simba ibadilishwe iwe chama cha siasa maana wao ndo wanaifanya yanga ionekane mbovu.
Suluhisho ni serikali iingilie kati. Ikiwezekana simba ibadilishwe iwe chama cha siasa maana wao ndo wanaifanya yanga ionekane mbovu.
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 70,785 Reaction score 186,690 Apr 12, 2021 #62 Hahahahah Yanga ni genge la wapiga domo tu! Soka safi hamna kazi kutupiana lawama tu
Hbzoo JF-Expert Member Joined May 30, 2018 Posts 246 Reaction score 370 Apr 12, 2021 #63 Tuachien timu yetu
Mc Tilly Chizenga JF-Expert Member Joined Feb 7, 2012 Posts 4,641 Reaction score 3,680 Apr 12, 2021 #64 zipompa said: niliposoma kwamba wawa na onyango ni mabeki bora nikaishia hapo baada ya kukumbuka onyango kupigiza upara chini na kutaka kumdaka miguu T.K master, nkakumbuka wawa alivyo channuliwa miguu kule Sudani nimecheka sana nkafunga na uzi Click to expand... Hukumbuki Onyango alivyowatia bao la kichwa?Hujasikia Onyango Ni Man of the Match huko Misri dhidi ya Al Ahly??
zipompa said: niliposoma kwamba wawa na onyango ni mabeki bora nikaishia hapo baada ya kukumbuka onyango kupigiza upara chini na kutaka kumdaka miguu T.K master, nkakumbuka wawa alivyo channuliwa miguu kule Sudani nimecheka sana nkafunga na uzi Click to expand... Hukumbuki Onyango alivyowatia bao la kichwa?Hujasikia Onyango Ni Man of the Match huko Misri dhidi ya Al Ahly??