kagobhe
Member
- Aug 27, 2020
- 89
- 26
Hiyo haendi kabisa..akaanze na diplomaEti huyu anaweza kwenda University yoyote by TCU standards
Principal alizopata: EED....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo haendi kabisa..akaanze na diplomaEti huyu anaweza kwenda University yoyote by TCU standards
Principal alizopata: EED....
Vipi Tanesco mambo yanakwendaje hapoKama mpaka unamaliza kidato Cha sita hujajua unataka kuwa nani,na usome nini?basi una shida kubwa,nilianza kuwa na kiu ya kusoma Elimu ya juu,nikiwa darasa la saba,nilipokuwa kidato Cha kwanza,mambo ya fizikia,chemistry yalinivutia sana,nikaamua lazima nichukue mkondo wa sayansi,PCM,nikapiga PCM,baada ya form four,nikasema lazima niwe engineer,nikapasua Pepa,fast forward leo ni engineer wa umeme.
Hivi vitu lazima uvijue mapema,
Angalia vyuo vya private unaweza kupata e.g UoI.Wadau naomba kuuliza mm nimemaliza 4m6 2021 nimepata division 3 ya 13 HGL
Hist-C
Geo-E
Lang-E
Gs-E
Vipi naweza pata chuo gan?
Je VP mkopo naweza kupata kwel nikiapply?Angalia vyuo vya private unaweza kupata e.g UoI.
Government vigezo havikidhi sababu ya competition watu ni wengi, ulipaswa uwe na angalau D nyingine
Ndiyo. Mkopo utapata uhakika ila cha muhimu uchaguliwe chuo chochote. Japokuwa ada za private zipo juu kidogo ukilinganisha na gov kwahiyo hata kama ukipata mkopo utakuwa unaongezea kidogo.Je VP mkopo naweza kupata kwel nikiapply?
Angalia hivi vyuo hapa👇👇Ndiyo. Mkopo utapata uhakika ila cha muhimu uchaguliwe chuo chochote. Japokuwa ada za private zipo juu kidogo ukilinganisha na gov kwahiyo hata kama ukipata mkopo utakuwa unaongezea kidogo.
t.co
Wadau naomba kuuliza mm nimemaliza 4m6 2021 nimepata division 3 ya 13 HGL
Hist-C
Geo-E
Lang-E
Gs-E
Vipi naweza pata chuo gan?
duh! je vp mkopo ntapata kwel?Principle ni D mbili, hujakidhi vigezo mkuu
Hana vigezo vya kusoma degree huyoKwa matokeo haya
Chemistry E
Biology D
Physics. E
Kozi gani itamfaa chuo kikuu,
Haina ajira usijisumbue kabisa huko time wastage tuWakuu naombeni kujua machache kuhusu hii course ya Chemical and process engineering kwa wenye utaalamu nayo mfano urahisi wake wa ajira na mengneyo na inahusika wapi zaidi
Kuna kipaunyuma pia mkuuuTulia wewe, unajua maana ya kipaumbele?