Olevel umesoma sayansi,A level umesoma madudu mengine,history,!!!HV huwa mmelogwa au?unapokuwa kidato cha pili,unatakiwa uwe unajua,utasoma masomo gani,kidato cha tatu,na unataka uwe nani huku duniani, dakitari, Muhandisi, Mtaalamu wa kilimo, ICT, Mwanasiasa, Mwalimu, Mwanasheria, nk, sasa ukipelekwa na upepo wa matokeo,inakuwa umepoteza muda,sasa wewe unataka kusoma IT,wakati kidato cha sita hukusoma sayansi!kwahiyo inabidi ukatumie cheti cha form four,sasa miaka miwili ya A level,siimepotea bure,,baada ya kumaliza form four, ungeenda DIT, ungepiga, diploma, miaka miwili, then unaunganisha mitatu tena sasa HV, ama ungekuwa unasoma bachelor In Engineering,au ungekuwa kazini,unalipwa mshahara.
Sie Anko zenu,tumemaliza form four 99,kulikuwa hakuna mitandao ya kijamii,no mobile phones,no smart phones,lakini tulijitaidi kupata taarifa,za kutosha ni nini tunataka maishani na nini tusome,sasa Leo kila kitu kipo,information on ur fingertips,!!!mnafeli wapi?!!!inakuwa kama mnasoma kama vipofu,mkigonga ukuta ndio mnajua mmefika,
Mimi niliamua kuwa nataka kuwa engineer nikiwa kidato cha pili.
Na niliihapa lazima nisome UD nikiwa darasa la saba,nilivutiwa na matamasha,ya siku ya mtoto was afrika yaliyokuwa yakifanyika UD ukumbi wa nkuruma.