Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo langu amescore C E S vipi atapata chuo ngazi ya degree??
Mbona una haraka kaka, kwani alikuwa combination gan? Kuhusu chuo atapata.
Actuarial Science UDSM hatapataKasome actuarial science hutajutia
Mheshimiwa...Kaka hiyo ngumu kwa mujibu wa TCU guidebook wanatak two principal pass zenye minimum point 4 yani inaweza kuwa DD au CE
Ufaulu ni mzuri..Anza na DiplomaWakuu Mimi nimemaliza Kidato cha Sita mwaka huu kwa mchepuo wa CBG Kwa kupata CHEMISTRY E, BIOLOGY E na GEOGRAPHY D Ivi naweza KUCHAGULIWA kujiunga na chuo chochote au nirudie MTIHANI na kama nikichagua kurudia nirudie masomo yapi?
Kwa matokeo haya
Chemistry E
Biology D
Physics. E
Kozi gani itamfaa chuo kikuu,
Nimemaliza form 6 comb PCM na matokeo yang ni div 2 point 10.
Physics. (D).
Chemistry. (D).
Adv.maths. (B).
kwa wazoefu mlioko chuoni, kwenye ajira na mliojiajili naombeni mnishauli faculty nzuri ya kusomea yenye uafadhali wa maslahi, urahisi wa kuajiliwa au kujiajili kama nikifanikiwa kumaliza chuo.
N.B mliosoma PCM na mko chuo au mmemaliza nahitaji zaidi mchango wenu
Kwa matokeo haya course gani anaweza pata huyu dogo pale SUA CHEM-E BIO -D GEO-D
Jamani msaada
Chemistry-E
Biology -C
Geography-D
Akasome nini huyu jamani?
Je? Biotechnology anaweza soma? Nursing je?
Au ipi kozi ya mifugo.
Mawazo
Husika na kichwa cha habari hapo juu mimi nimehitimu combination ya HGE
HISTORY -D
GEOGRAPHY -E
ECONOMIC-D
O level nilipata
Mathematics-C
BIOLOGY-C
GEOGRAPHY-C
PHYSICS-D
CHEMISTRY-D
Nimeambatanisha matokeo ya O level kwasababu kuna KOZI wanazingatia hayo
Binafsi napenda kusoma COMPUTER SCIENCE , IT & ICT AU KOZI ZINAZOENDA NA HIZO
BUT KUTOKANA NA UFAULU HUO VYUO VICHACHE NAKIZI VIGEZO
Mfano SUZA, MZUMBE, NIT ila kutokana na hofu ya competition nimekuja HUMU WAKUU kuomba ushauri WA KOZI nyengine nzuri ili nikikosa hizi nisiyumbe lakini KOZI zinazotoa ujuzi na sio certificate tupu
KAMA YUPO MUHITIMU MWENGINE UZI WETU NDIO HUU TUOMBE USHAURI
Napenda kutanguliza shukrani kwa niaba ya wanafunzi wote
AHSANTENI
Education Science itamsaidia: Atembelee vyuo kama Marian University College. Website: www.maruco.ac.tzNina dogo langu kamaliza form six na alisoma CBG je ni course gani ya sayansi ambayo anaweza kusoma ili akimaliza atoke na ujuzi kichwani mbali na uhakika wa ajira. Ufaulu wake ni div 2 ya 11 yaani D flat.
Naomba kuwasilisha.
Check me hapa: www.maruco.ac.tzKwa matokeo haya huyu mtu anaweza soma microbiology au bachelor of science in molecular biology and biotechnology pale udsm
Chem D
Bio D
Geo C
Bam S
Gs D
Tembelea: www.maruco.ac.tzHello wakuu
Mm nimehitimu kidato cha sita mwakahuu kwa combination ya PCB
Matokeo yangu yamenikata maini kwakwel
NINA DDE physics ndio imeniungusha kabisa
Sasa kiukweli hapa nilipo nipo njia panda
Napenda kusoma kozi za afya ila kutokana na ufaulu wangu ww kama mzoefu unaweza ukanishauri niwapi nipite ili niweze kufikia mafanikio.
Je naweza nika anza na diploma ya clinical officer au kuna njia mbadala asanteni!! Ambayo ni nuzri zaidi sitaki kurudia mtihani!!
Wakuu naomba msaada wenu Mimi nimemaliza kidato Cha sita mwaka 2020 na mimebahatika kupata division 3 ya 14 kwa mchepuo wa CBG na kupata CHEMISTRY E,BIOLOGY E, GEOGRAPHY D kwa alama hizo naweza kuchaguliwa kujiunga na University
Hello wakuu
Mm nimehitimu kidato cha sita mwakahuu kwa combination ya PCB
Matokeo yangu yamenikata maini kwakwel
NINA DDE physics ndio imeniungusha kabisa
Sasa kiukweli hapa nilipo nipo njia panda
Napenda kusoma kozi za afya ila kutokana na ufaulu wangu ww kama mzoefu unaweza ukanishauri niwapi nipite ili niweze kufikia mafanikio.
Je naweza nika anza na diploma ya clinical officer au kuna njia mbadala asanteni!! Ambayo ni nuzri zaidi sitaki kurudia mtihani!!
Na nikiomba diploma chuo kikuu naweza kupata mkopoNdugu ili uwezo kuchaguliw kujiunga na elimu ya juu kwa ngazi degree inahitajika kuwa na ufaulu utakao fikia at least point 4 kwenye masomo mawili. Kwa ufaulu wako hujafikia unashauriwa kufanya Diploma au kurudia hayo masomo uliopata chini ya D.