Car4Sale Karibu uagize kutoka Be forward!

EAPGS

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2021
Posts
282
Reaction score
334
Wapendwa,

Ni matumaini yangu kwamba sote tupo salama!

Kwa wale wa mkoa wa Mbeya, na mikoa jirani.

Nawakaribisha kuanzia Tarehe 25/06/2021

Ofisini kwetu EAPGS kuweza kuagiza gari mzipendazo kutoka BE FORWARD JAPAN!

kampuni kongwe kwenye eneo la uuzaji na usafirishaji wa magari kutoka japan, yenye kupendwa na kuaminika zaidi

KWANINI BE FORWARD ?

1. Ni kampuni ambayo imekua ikitoa huduma ya uuzaji na usafirishaji magari kutoka japan kwenda nchi mbali kwa takriban miaka 17 sasa.

Kampuni ambayo imeshasafirisha zaidi ya magari 500,000 kwenye nchi zaidi ya 120 mpaka sasa tokea mwaka 2004.
Jambo ambalo limeifanya kuwa kampuni kinara hadi sasa!

2. Idadi kubwa ya machaguo ya magari kulingana na budget yako. Uhakika wa ubora pamoja na usalama wa fedha zako.

KWANINI EAPGS?
1. Utasaidiwa kuchagua gari itakayo kufaa kwenye matumizi yako ya kila siku na kupewa ushauri bure kabisa.

2. Utaweza kuagiza gari yako kwa malipo ya awali ya chini ya 50%

3. Huduma muhimu kama vile bima ya barabarani. Utaipata bure kwa mwaka mzima. (Comprehensive insuarance )

4. Usalama wa pesa zako, pia uhakika wa 100% kupata kile ambacho umekichagua na uharaka wa kukufikia.

Ni kuanzia 25/06/2021 hii!

Karibu!!

EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097
 
2005 Toyota Ractis
1,490 CC
38,398 KM

TZS 11,810,000/=

Agiza kwetu kwa Malipo ya awali ya Tzs 4,740,000/=

Gari inasafrishwa!

BIMA KUBWA BURE!!

EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097













 
2009 Toyota Wish
1,980 CC
75,350 KM


TZS 16,300,000/=

Agiza kwetu kwa Malipo ya awali ya Tzs 6,700,000/=

Gari inasafrishwa!

BIMA KUBWA BURE!!




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
Nahitaji SUBARU IMPREZA matata, hebu nipe sampuli na gharama zenu!
Ningeweza kuweka link hapa
Ya machaguo yote makali ya Imprezza. Ila kwa bahati mbaya sheria za jukwaa hili zinanitaka nisiweke link

Kwa maana hiyo basi unaweza nitumia ujumbe wa Whatsapp, niweze kukupa link uangalie subaru imprezza zote kali tulizonazo
 
Toyota RunX
Cc1490
Bei gani?
Bei inaanzia

13,600,000/=

Unapewa pamoja na BIMA kubwa ya mwaka mzima bure.

Ni 5,440,000/= gari yako inaanza kuja.

Karibu sana.

EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097
 
Bei inaanzia

13,600,000/=

Unapewa pamoja na BIMA kubwa ya mwaka mzima bure.

Ni 5,440,000/= gari yako inaanza kuja.

Karibu sana.

EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097
2002 Toyota Corolla Runx / Allex

80,476 KM

1,490 CC

1NZ ENGINE

 
Hata hivyo mkuu unazi overprice sana mfano hiyo Ractis inafika kwa milioni10.1 tu (manunuzi4.6m, ushuru4.5m, tbs+bandari0.8m). Ushauri usiweke reference namba za Beforward utaumbuka sababu watu wanaweza kufanya mahesabu.
 
Hata hivyo mkuu unazi overprice sana mfano hiyo Ractis inafika kwa milioni10.1 tu (manunuzi4.6m, ushuru4.5m, tbs+bandari0.8m). Ushauri usiweke reference namba za Beforward utaumbuka sababu watu wanaweza kufanya mahesabu.
Ni biashara,

Na biashara yeyote lazma iwe kwa uwazi. Hakuna haja ya kuficha ficha.

Ahsante.
 
Natamani sana kuagiza Volkswagen Toureg ya mwaka 2007 TDI.
Mnaushauri gani kwa hiyo gari
Kimsingi, Volkswagen Touareg Reliability rating yake ni 3.0 kati ya 5.0. kitu ambacho kinai-rank 25th kati 26 kwenye midsize SUVs.

Na average annual repair cost huwa inakwenda hadi 2,249,000/=
Hii inamaana kwamba ina poor ownership costs.

Repairs ni za mara kwa mara , kwahiyo unaweza ku- experience a few visits kwa fundi wako than normal.

That's what i can say!

Lakini wapo wataalamu wengine humu, wanaweza kuja na kutoa ushauri kitaalamu zaidi.

Ahsante
 
2008 Toyota Corolla Rumion

1,790 CC

74,568 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 16,110,000/=


malipo ya awali

TZS 8,500,000/=


Gari yako inaanza Safari.

2008 Toyota Corolla Rumion

1,790 CC

74,568 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 16,110,000/=


malipo ya awali

TZS 8,500,000/=


Gari yako inaanza Safari.


EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
2005 Toyota Corolla Spacio

1,790 CC

61,123 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 13,950,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 5,800,000/=


Gari yako inaanza Safari.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
2008 Nissan X-Trail

1,990CC

89,956 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 17,500,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 8,900,000/=


Gari yako inaanza Safari.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
2013 Subaru Forester

1,990CC

137,760 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 34,850,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 17,910,000/=


Gari yako inaanza Safari.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…