Tatizo una zi over price na kuna route ya bei rahisi.Ni biashara,
Na biashara yeyote lazma iwe kwa uwazi. Hakuna haja ya kuficha ficha.
Ahsante.
Mkuu mimi nimekushauri tu, jikite kutafuta faida dogo lakini upate wateja wengi i.e 200,000/= kwa gari moja, achana na mambo ya bima bure wewe muagizie gari mteja bima atapambana mwenyewe.Ni biashara,
Na biashara yeyote lazma iwe kwa uwazi. Hakuna haja ya kuficha ficha.
Ahsante.
Safi mkuu, wana Mbeya sasa itakua haina sababu ya kusafiri mpaka Dar es Salaam ili kuonana na mawakala.Wapendwa,
Ni matumaini yangu kwamba sote tupo salama!
Kwa wale wa mkoa wa Mbeya, na mikoa jirani.
Nawakaribisha kuanzia Tarehe 25/06/2021
Ofisini kwetu EAPGS kuweza kuagiza gari mzipendazo kutoka BE FORWARD JAPAN!
kampuni kongwe kwenye eneo la uuzaji na usafirishaji wa magari kutoka japan, yenye kupendwa na kuaminika zaidi
KWANINI BE FORWARD ?
1. Ni kampuni ambayo imekua ikitoa huduma ya uuzaji na usafirishaji magari kutoka japan kwenda nchi mbali kwa takriban miaka 17 sasa.
Kampuni ambayo imeshasafirisha zaidi ya magari 500,000 kwenye nchi zaidi ya 120 mpaka sasa tokea mwaka 2004.
Jambo ambalo limeifanya kuwa kampuni kinara hadi sasa!
2. Idadi kubwa ya machaguo ya magari kulingana na budget yako. Uhakika wa ubora pamoja na usalama wa fedha zako.
KWANINI EAPGS ?
1. Utasaidiwa kuchagua gari itakayo kufaa kwenye matumizi yako ya kila siku na kupewa ushauri bure kabisa.
2. Utaweza kuagiza gari yako kwa malipo ya awali ya chini ya 50%
3. Huduma muhimu kama vile bima ya barabarani. Utaipata bure kwa mwaka mzima. (Comprehensive insuarance )
4. Usalama wa pesa zako, pia uhakika wa 100% kupata kile ambacho umekichagua na uharaka wa kukufikia.
Ni kuanzia 25/06/2021 hii!
Karibu!!
EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097
Karibu sana mkuu, pia nitakua nakuunganisha na wateja wanahitaji kuagiza magari kupitia be forward.Naam mzee,
Ahsante.
Nitakutafuta pia kukupa kazi.
Ahsante kwa maoni mzeeTatizo una zi over price na kuna route ya bei rahisi.
Amekushauri tu kuwa unaweza ukapoteza wateja kirahisi sana
Inakuaje ushuru unakua sawa na bei ya manunuziHata hivyo mkuu unazi overprice sana mfano hiyo Ractis inafika kwa milioni10.1 tu (manunuzi4.6m, ushuru4.5m, tbs+bandari0.8m). Ushauri usiweke reference namba za Beforward utaumbuka sababu watu wanaweza kufanya mahesabu.
Weka 3 tu tofauti tofauti nizioneZipo aina tofauti tofauti
Ikiwemo Passo pia.
Inapatikana mkuu wangu?Ndio hiyo hiyo mzee
Inaitwa highlander a.k.a "msambwander"
Ndo hivyo mkuu, ni kwa mujibu wa calculator ya Magari chakavu ya TRA.Inakuaje ushuru unakua sawa na bei ya manunuzi
Sikujua hili la negotiation kama lipo , nisamehe bure , huko mbele ninaweza kuwa mteja wako japo naishi Dar na ofisi yako ipo Mbeya ., kuna elements fulani umezieka kwenye biashara yako zinanivutia somehow , installments!!!Ahsante kwa maoni mzee
Miongoni mwa watu ambao nimekua nikisoma thread zao kabla ya kufikia uamuzi wa kujiunga hapa.
Kujibu swali,
Ni kwamba,
Suala sio kwamba nina over price au la. Ndio maana hakuna ambapo kuna eneo nimeandika ( fixed ) hii inamaana kwamba the price is negotiable.
Hakuna biashara ambayo haina negotiations.
Pia kumbuka, ninalipia office, kuna wafanyakazi ambao nina walipa mishahara
Ulipaji wa mikataba kwa mawakili n.k
Na gharama zingine za uendeshaji kampuni.
Na ndio maana kila kitu nimeweka wazi, anaenunua ananunua kwa hiyari akijua wazi kwamba gari husika inauzwa wapi
bei na kila kitu.
Hivyo ni suala la mtu mwenyewe tu kuamua.