Car4Sale Karibu uagize kutoka Be forward!

2006 BMW 1 SERIE

1,590 CC

31,694 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 12,500,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 7,500,000/=


Unaletewa gari lako kutoka Japan.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
Humu kuna watu wana maswali ya kingese sana...hii ni biashara ukiweza kuagiza mwenyewe fanya..yeye kafungua ofisini lazima aweke gharama za uendeshaji...
Jamaa yupo vizuri kaelezea kila kitu
 
2008 AUDI A4

1,990 CC

99,535 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 15,200,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 7,800,000/=


Unaletewa gari lako kutoka Japan.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097













 
2010 TOYOTA RAUM

1,490 CC

65,562 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 12,890,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 7,200,000/=


Unaletewa gari lako kutoka Japan.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
2010 SUBARU IMPREZZA

1,490 CC

64,279 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 12,650,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 7,500,000/=


Unaletewa gari lako kutoka Japan.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
Tatizo una zi over price na kuna route ya bei rahisi.
Amekushauri tu kuwa unaweza ukapoteza wateja kirahisi sana
Sasa sindio biashara mzee baba! Sasa akikuagizia kwa bei unayotaka wewe yeye ataendeshaje ofisi? Au hujui kuwa faida yake iko kwenye hizo figures?
 
Humu kuna watu wana maswali ya kingese sana...hii ni biashara ukiweza kuagiza mwenyewe fanya..yeye kafungua ofisini lazima aweke gharama za uendeshaji...
Jamaa yupo vizuri kaelezea kila kitu
Wanazingua sana wabongo, ni sawa na mtu kuingia saluni yenye wahudumu wazuri,kubwa yenye nafasi na comfortability ya kutosha, iko katikati ya mji ambako fremu ni ghali halafu anataka alipie buku 2 kunyolewa na kufanyiwa extra services!

Hatuheshimugi biashara za watu kabisa kanakwamba hatuelewi kuwa biashara ni lazima ijiendeshe kwa faida!
 
Mzee,

Nashukuru sana kwa kunisaidia kuelewesha. Ahsante sana pia for the many likes.
 
2007 TOYOTA CROWN ATHLETE

2,490 CC

84,645 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 16,800,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 8,500,000/=


Unaletewa gari lako kutoka Japan.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
Mtu anayeamua kununua gari tayari ameshajiandaa hivyo swala la kulipa kwa instalment sio kigezo cha kusema ni unafuu

Mimi nilikuwa ntaka kujua kama gari ukiagiza mwenyewe garama zote itakuwa 13m akiagiza kupitia kwenu authorized dealers itapungua chochote ?
 
2007 TOYOTA CROWN ATHLETE

2,490 CC

111,236 KM


Unaweza kuagiza kwa Gharama kamili ya kuanzia TZS 16,850,000/=

Malipo ni ya awamu 3

malipo ya awali

TZS 8,500,000/=


Unaletewa gari lako kutoka Japan.




EAPGS
MAFIATI AREA
MBEYA TANZANIA
CALLS , TEXTS & WHATSAPP
+255 682 274 097















 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…