πππ HiiiiiiiiiiiiiiiiiMkuu Ford Mustang mnazo? Bei zake zipoje?
Unashangaa nini boss?πππ Hiiiiiiiiiiiiiiiii
Yeah budget yangu haizidi 70m mkuu. Be forward wanazo?Haha
Mzee wangu
Hizo tuseme ni special order
60mil lazma ikae .
Oder za hivyo kwa wabongo Ni 1 in a million.Unashangaa nini boss?
Kwamba hamna mustang bongo?Oder za hivyo kwa wabongo Ni 1 in a million.
Hahah aisee mkuu, Toyota soarer 2001 model(convertible) yenyewe inaendaje mkuu?ππ
Kuushtua umasikini, inaruhusiwa mzee wangu !!
Vipi, hautaki ile bugatti tena?
Hahah, true story, luckly Chaliifrancisco ndio juyo one in a million sasaOder za hivyo kwa wabongo Ni 1 in a million.
Ziko nyingi Sana Kama IST mkuu.Kwamba hamna mustang bongo?
Yule nadhani kwa Sasa huyo Ni single maza maana hawaambatani na jamaa ake Kama kumbikumbi Tena humu JF ππAu mahondaw unasemaje?