nyumbanzuribeinzuri
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 2,144
- 276
- Thread starter
-
- #81
MTU akitaka hata viwanja 10 Vya mpira wa miguu Vya pamoja nampa lkn huyu Tajili yangu HATARI SANA YY ANATAKA APANGE SHULE ni mtihani mgumu sana na YUPO VERY SERIOUS (Pesa anayo)Una eneo la ukubwa gani mana siku hizi shule lazima uwe na ukubwa uliopitishwa na serikali
MTU akitaka hata viwanja 10 Vya mpira wa miguu Vya pamoja nampa lkn huyu Tajili yangu HATARI SANA YY ANATAKA APANGE SHULE ni mtihani mgumu sana na YUPO VERY SERIOUS (Pesa anayo)
Mwanza International school pale Iseni palikuwa sokoni sema nasikia Uhuru Hospital wamepachukua.MTU akitaka hata viwanja 10 Vya mpira wa miguu Vya pamoja nampa lkn huyu Tajili yangu HATARI SANA YY ANATAKA APANGE SHULE ni mtihani mgumu sana na YUPO VERY SERIOUS (Pesa anayo)
N kweli kabisa hapo jeshini magorofani FEZA BOYS walitaka waweka branch kanda ya ziwa lkn naona wamewakodisha UHURU HOSPITALMwanza International school pale Iseni palikuwa sokoni sema nasikia Uhuru Hospital wamepachukua.
Duuh huu sasa ubishi Wa 4G!!!!Mwanza kwa sasa hakuna eneo la ukubwa huo ni nyashishi tu mtu alikuwa na shamba na keshauza ndugu yangu kahangaika sana akakosa
Dakika 3 hadi standRoom 3 ndani ya fensi Nyakato hapoView attachment 1115307View attachment 1115308View attachment 1115309View attachment 1115310
Ndio vipoNataka kiwanja Nyegezi Nyamazobe nitapata?
Ukubwa gn?Nataka kiwanja Nyegezi Nyamazobe nitapata?
Changamoto mpya!!Nitafutie CHOO CHA KUKODISHA soko kuu,libeti,Makoroboi
Bei isizidi lk 1naweza kulipa miezi Sita au sehemu ya kujenga hiyo choo. Sharti kubwa sehemu ambayo imechangamka sana njoo inbox tuyajenge zaidi
0767241001natafuta nyumba ya kununua bei milion 15 kushuka chini na angalau isiwe mbali na nauli ya daladala ya gari moja nifike mjini.
hapa chumba sebule ni sh ngapi mkuu? 750k?Chumba sebule
Nyegezi
Master
750,000/=
Weka sifa za Nyumba unayotaka sisi tutakupatia popote Mwanza
0767241001
0620690670
Typing error 75,000/= Triple G sorryhapa chumba n
hapa chumba sebule ni sh ngapi mkuu? 750k?
Hii sio chamazi hiii?? Mmh nna wasiwasi na wwNyingine hii hapaView attachment 1115117