tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
Wa mastars je?
Asante,tangazo lao nimeliona jana tbc1 ila kwenye web yao mpaka sasa hakuna taarifa yoyote juu ya application,wenda wakaweka hiyo 1/5/2013
je na sisi 2naoingia mwaka wa pili ambao hatukupata mkopo inakuje kuhusu viambatanisho na hiyo elfu thelathini
sasa cc 2lioko vyuoni 2tasahiniwa na nani ile sehemu ya sahihi za wenyekiti wa mitaa na sehemu ya mzazi au mlezi?