tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
Watanzania waliokuwa wanasubiri kwa hamu na gamu kutuma maombi ya kupata mkopo ili kuweza kusoma katika vyuo vya elimu ya juu muda umewadia.
Maombi yataanza kupokelewa siku ya Jumatano tarehe 1/5/2013. Jiandae kwa kuweka kumbukumbu zako vizuri. mfano vyeti vya masomo ukizingatia kwamba namba za mtihani wa kidato cha Nne (Form Four) hutumika kwa utambulisho wa mwombaji.
Kila la kheri waombaji.
Maombi yataanza kupokelewa siku ya Jumatano tarehe 1/5/2013. Jiandae kwa kuweka kumbukumbu zako vizuri. mfano vyeti vya masomo ukizingatia kwamba namba za mtihani wa kidato cha Nne (Form Four) hutumika kwa utambulisho wa mwombaji.
Kila la kheri waombaji.