FUJISTU
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 261
- 93
samahani jaman wana jf mm nmemaliza diploma last year. 4m 6 nlimaliza 2010 nkapata division 3 ya 17 ECA nkapata principle mbili ya accounting na economics. Vp naeza pata mkopo kweli??? naombeni mnisaidie kunipa jibu.
Utata hapo.....ila sidhani kama mkopo wanaangalia grades, mana kuna watu wana 16 n still wana loan, its for needy students.