Karibuni Baraza la Kahawa

hahahaha nimecheka mpaka basi aiseee huyo shekh itakuwa wa mwendo kasi na wafuasi wake
 
[emoji79]Ndo madhara ya kubambia thread za watu,badala ya kutoa ushauri tunajiingiza na kuleta stry.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha tumalizie hapa hasira zote,mara kesho tunastukia modz washaufuta uzi hahahha,ntahama tu jf
Hahahaha utahamia wapi tena mbona utatuacha midomo wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…