Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
- Thread starter
-
- #281
hahaha huyo betri sio zima mpaka abust ndo gari iwakeTeh teh kesha kuachaaa
Nyoka mzee/#
Mimi Sitakuwa kama Hao waumini..... Mke wa duniani akiingia peponi mahur-lein cha mtoto.Kuna Sheikh mmoja alikuwa atoa story za mahurul eiyn msikitini.
Akaanza kuwasifu sanaaaaaa mpaka jamaa wote wamepanda Mori kwa raha. Sasa mukiingia peponi (sheikh akaendelea)...ukifika kwenye Kasri lako...utakaribishwa na wanawake wazuriiiiiiiiiiiii, mpaka macho yatakutoka kwa umaumbile Yao na uzuri wao. Utauliza malaika, Hawa ndio wake zangu wa huku?
Malaika watasema hapana, hao Ni wafanyi kazi wako tu, Hao mahurul eiyn bado hujawaona, uzuri wao Ni Mara elfu hamsini ya hawa! (jamaa msikitini takbiiiiir)!
"Halafu ukiingia ndani unakuta wanawake wengine warembo kuliko wale wa mlangoni...wanakuandalia....utauliza malaika, hao ndio mahurul wangu? Utaambiwa hapana Hawa Ni wa kukupikia na kukuandalia tu! Kila ukiendelea unakutana na warembo kuliko those before na Ni wazuri Mara elfu hamsini ya those before., (jamaa msikitini takbiiiiir ya nguvuuuuu!!!!!!!)
Mwisho unafika chumba kikuu cha Kasri lako, (jamaa hata kukaa hawakai tena wengine wampiga magoti!!). Sheikh akasema, ukifungua mlango.....? Jamaa enheeee?! Tupe Sheikh!!
Sheikh akaendelea, Unamkuta mkeo wa duniani kalala kwenye jitanda lako, amependezaaaa!!!
Jamaa wote wakaruka msikitini, "Sasa sheikh mambo gani Tena? Aaaaaah waudhi kaaa Nini, hebu shuka mimbar hiyo! Aaaah eti mke wangu? Huyu huyu niliomuacha nyumbani? Mmmh! Ushaharibu kila kitu, toka uwende zako!".
Balaaa ikazuka msikitini[emoji12]
Ivi wanaume mna nn lkn[emoji124][emoji124]
Mimi Sitakuwa kama Hao waumini..... Mke wa duniani akiingia peponi mahur-lein cha mtoto.Kuna Sheikh mmoja alikuwa atoa story za mahurul eiyn msikitini.
Akaanza kuwasifu sanaaaaaa mpaka jamaa wote wamepanda Mori kwa raha. Sasa mukiingia peponi (sheikh akaendelea)...ukifika kwenye Kasri lako...utakaribishwa na wanawake wazuriiiiiiiiiiiii, mpaka macho yatakutoka kwa umaumbile Yao na uzuri wao. Utauliza malaika, Hawa ndio wake zangu wa huku?
Malaika watasema hapana, hao Ni wafanyi kazi wako tu, Hao mahurul eiyn bado hujawaona, uzuri wao Ni Mara elfu hamsini ya hawa! (jamaa msikitini takbiiiiir)!
"Halafu ukiingia ndani unakuta wanawake wengine warembo kuliko wale wa mlangoni...wanakuandalia....utauliza malaika, hao ndio mahurul wangu? Utaambiwa hapana Hawa Ni wa kukupikia na kukuandalia tu! Kila ukiendelea unakutana na warembo kuliko those before na Ni wazuri Mara elfu hamsini ya those before., (jamaa msikitini takbiiiiir ya nguvuuuuu!!!!!!!)
Mwisho unafika chumba kikuu cha Kasri lako, (jamaa hata kukaa hawakai tena wengine wampiga magoti!!). Sheikh akasema, ukifungua mlango.....? Jamaa enheeee?! Tupe Sheikh!!
Sheikh akaendelea, Unamkuta mkeo wa duniani kalala kwenye jitanda lako, amependezaaaa!!!
Jamaa wote wakaruka msikitini, "Sasa sheikh mambo gani Tena? Aaaaaah waudhi kaaa Nini, hebu shuka mimbar hiyo! Aaaah eti mke wangu? Huyu huyu niliomuacha nyumbani? Mmmh! Ushaharibu kila kitu, toka uwende zako!".
Balaaa ikazuka msikitini[emoji12]
Ivi wanaume mna nn lkn[emoji124][emoji124]
Wambea hao achana nao[emoji30][emoji30]Ulikua jangwani naskia
Aaaaa.... Sijakupa ruhusa hioHahahaha[emoji23][emoji23]ilo jina la dear ntamwita baadae
Aaaaa.... Sijakupa ruhusa hioHahahaha[emoji23][emoji23]ilo jina la dear ntamwita baadae
Hakuna wa jangwani wala wa porini ni WEWE tu.[emoji3][emoji3]Sio wa jangwani
Kabisa yaani maana sio kwa mapocho pocho yote haya niliyoandaliwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ushindwe kunenepa wewe tu.
mkuu hapa haondoki mtu ndo patakuwa barza yetu hii,kila siku utatukuta hapa
Ingelikuwa midomo inalipiwa kodi nina hakika nyoka mzee ungeongea kweli tu... Uongo ungeacha.mwambie ukweli uko nyumba ndogo?
Ha ha ha ha ha.... Binamu yako mali yangu bwana... C ndo maana unaniita shemejiwamin shari bwana shemeji anapotaka mchukuwa binam
Usijali haufungwi huu[emoji79]Yani apa umetengezwa uzi tuporojee humu,alaf huu uzi ufungwe tena[emoji30]itabidi nisichangie post yyt ntakua mtazamaji tu wa post za watu
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87][emoji4] [emoji12] wakifunga huu uzi tutaandamana bila nguo alafu mie ntatangulia mbele
We endelea nakuangalia tu sijui utarudi kulala wapi leooo....... Ukikuta njia imegungwaa[emoji357] [emoji357]hahaha jirani hapana
Umronaeeee teh teh kwahiyo uhakika wa kumsukuma upo %100hahaha huyo betri sio zima mpaka abust ndo gari iwake
Swalamat mbn wapita kwa mbali...JiraniZa saa hizi wazee wenzangu..swalamaaa
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji113][emoji113][emoji113][emoji113][emoji113]
We ulie tu shem..... Mnanipaga raha nyie mabinamu.... Mnanyatia binamu zenu mkijidai kutania... Mke wangu mke wangu... Mkipata upenyo tu mambo yameharibika.... Ndo maana mimi niko makini kweli kweli.aje alale maana na mie niko huko
[emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8][emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji7] [emoji8] [emoji7] [emoji8] sasa sijui tuhamie private massage
Bila nguo tena??? [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji4] [emoji12] wakifunga huu uzi tutaandamana bila nguo alafu mie ntatangulia mbele