Karibuni Baraza la Kahawa

Ahsante mumy kwa ujumbe mzuri [emoji120] [emoji120]
 
Vijana wa darisalama hao..duuh
Hivyo ndo vyakula vyenu eeh..
Sisi thgeomba kipolo cha ugali au sahani la futari..
mjini hakuna vyoo vya shimo vingi vya kuflash ,acha tule vitu laini ili kulainisha chooo
 
Bora hata ulivyowahi siti mkuu maana wakija watu utakunywa kahawa huku umesimama utapiteza radha[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Kwel mkuu,,, uliyoyasema yashankuta , naona watu wanaitamania siti yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] ,,,, huu ushilawadu classic sana…!!
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] ,,,, huu ushilawadu classic sana…!!
hahahaha
 
Poleni.... Vizuri niliwahi kuwachukulia wewe na Kakaako mjanjamjanja la sivyo mlikuwa mkae korokoroni kwa wiki nzima..... Hujambo my Queen?
[emoji35] [emoji35] [emoji35] Hakuna cha pole maana tulipata kuenjoy na binamu bila usumbufu wako maana tulikuwa gereza moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…