Msaka_uchawi
Senior Member
- Feb 16, 2017
- 104
- 213
we mtu unameneno sijakupatia mwenzio lol[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Hahaha binam naona haka ni kakitchen party kasichokuwa na vyombo?[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Nini[emoji16] [emoji16] [emoji16]
haaaaaa[emoji15]"Binamu nyama haramu" (uarabuni)
Ahsante mumy kwa ujumbe mzuri [emoji120] [emoji120]Jinsi ya KUTENGENEZA UDUGU USIOOZA:
Chukua kiasi kikubwa cha HURUMA [emoji45][emoji45]- angalia kisiwe kikubwa sana - changanya na bakuli moja lililojaa UKARIMU. [emoji4]Ongeza vijiko vitatu vya WEMA[emoji56], kisha koroga pamoja na IMANI,[emoji120] baadae chuja ili kuondoa taka za CHUKI[emoji34], KIBURI,[emoji19] UBINAFSI,[emoji21] UCHOYO,[emoji35] WIVU, [emoji174]UONGO[emoji105] na MAJUNGU.[emoji26] ONGEZA kijiko kimoja cha UPENDO [emoji173]ili kuufanya uchangamke, kisha ufunike na sufuria ya UKWELI [emoji179]ili uumuke. Baadae pasha moto taratibu kwa joto la FURAHA.[emoji38] Ukiwa tayari, pakua na ule kwa TABASAMU.[emoji16] plz share.
mjini hakuna vyoo vya shimo vingi vya kuflash ,acha tule vitu laini ili kulainisha choooVijana wa darisalama hao..duuh
Hivyo ndo vyakula vyenu eeh..
Sisi thgeomba kipolo cha ugali au sahani la futari..
unachanganya utamu na ugwadu ili maisha yaende tena harakaHahaha kachori na kahawa wapi na wapi mkuu
Kwel mkuu,,, uliyoyasema yashankuta , naona watu wanaitamania siti yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bora hata ulivyowahi siti mkuu maana wakija watu utakunywa kahawa huku umesimama utapiteza radha[emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] mnanionea mie walaawe mtu unameneno sijakupatia mwenzio lol[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
hapana Banam ni Kanyama kahamu tu [emoji7] [emoji7] [emoji7]"Binamu nyama haramu" (uarabuni)
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] ,,,, huu ushilawadu classic sana…!!Hivi huyu naye kanunua gari amepata wapi hela? halafu si nilisikia yule mama wa nyumba ya tatu alikuwa na vyeti feki mbona nimemuona asubuhi asubuhi anapanda gari kavaa kama anaenda kazini? pia nilisahau yule kijana wa kwa mzee Juma hivi siku hizi anamchukua Bi Chaurembo?
Wallahi Yanga hawawezi kuchukua kombe, iwe isiwe Simba watachukua si unaijua kamati ya ufundi ya Simba.
hahahaha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] ,,,, huu ushilawadu classic sana…!!
Poleni.... Vizuri niliwahi kuwachukulia wewe na Kakaako mjanjamjanja la sivyo mlikuwa mkae korokoroni kwa wiki nzima..... Hujambo my Queen?Tulipigwa wote ban,kifungo cha 24 hrs
Chukua wine basi mama.Mbn unawanunulia wanaume tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, kwani gwajima alisemaje vilee,,, ngoja ntamuuliz nkiend kanisan j2 ntakultea majibu…!!Hivi diamond aliingiaje freemason
Haya mambo tunasubiri wazinguane tena maana "vita vya kunguru furaha ya panzi"[emoji23] [emoji23] [emoji23]kwani gwajima kwanini aliamuwa kukaa kimya au maza naye alimzuia?
Maana mtu anatwa binam ila anafika mbali hadi mgodinihaaaaaa[emoji15]
Sisi yetu macho tuhapana Banam ni Kanyama kahamu tu [emoji7] [emoji7] [emoji7]
[emoji35] [emoji35] [emoji35] Hakuna cha pole maana tulipata kuenjoy na binamu bila usumbufu wako maana tulikuwa gereza mojaPoleni.... Vizuri niliwahi kuwachukulia wewe na Kakaako mjanjamjanja la sivyo mlikuwa mkae korokoroni kwa wiki nzima..... Hujambo my Queen?
Nipo habiby...Binamu mbona hujamtag mzeewakungoa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] mkuu acha husda mbona hivyoo mkuu,Basi binamu yako ww mie dada angu huyuSisi yetu macho tu