Karibuni Baraza la Kahawa

Karibuni Baraza la Kahawa

jirani uko mubashara?
maana sio kwa kuniona huko hahaha

Hata mie nakiona jirani na ofa zako
Aaaah wivu huo sasa Jirani ofa zangu zinakuhusu nini[emoji780] [emoji780] wewe na Huyo binamu yko sijawaonea wivu iweje wewe unionee wivuuu[emoji19] [emoji19] naona unahamu ya kufungiwaa njia jiraniii......


Kumbe kunifata nyuma nyuma unafatilia ofa zangu
 
Sasa hili banda la kahawa wine inatoka wapi????[emoji15]
......unajua ukizoea kutongozaaaa kwa kutumia kauongo uongooo inabidi uwe nakumbukumbuuu??!!!!!
Ona sasa aibu ishakupata[emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Zipo chache. Exception kwa ambao hawatumii kahawa ila wanapenda stori ya kiringeni.
 
Aaaah wivu huo sasa Jirani ofa zangu zinakuhusu nini[emoji780] [emoji780] wewe na Huyo binamu yko sijawaonea wivu iweje wewe unionee wivuuu[emoji19] [emoji19] naona unahamu ya kufungiwaa njia jiraniii......


Kumbe kunifata nyuma nyuma unafatilia ofa zangu
ha ha ha..... Mwambie aache wivu
 
Aaaah wivu huo sasa Jirani ofa zangu zinakuhusu nini[emoji780] [emoji780] wewe na Huyo binamu yko sijawaonea wivu iweje wewe unionee wivuuu[emoji19] [emoji19] naona unahamu ya kufungiwaa njia jiraniii......


Kumbe kunifata nyuma nyuma unafatilia ofa zangu
hahaha jirani wivu sunnah muulize binamu atakwambia

[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Zipo chache. Exception kwa ambao hawatumii kahawa ila wanapenda stori ya kiringeni.
[emoji12] wengine wanywe kahawa mie ninywe wine sindiyo mwanzo wakuambiwa na hujumu uchumi wa nchii unataka waache kujadili jinsi ya kupambana na hii hali ngumuuu waanze kunijadili mm[emoji4]

....alafu huwa nikinywaga wine inakimbilia ikuluuu sasa sijui itakuwaje na kaka binamu sinaaa.....
...na jirani yangu humu naona keshatekwa na binamu yake........

.[emoji125]
 
Back
Top Bottom