mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Usianze ushilawadu.... WA kunificha yumo humuSijui kafichwa wapi leo hahaha
Cc mzeewakungoa
Hahahahah kwani ubinamu unamipaka ?Maana mtu anatwa binam ila anafika mbali hadi mgodini
Uko peke ako[emoji16][emoji16]Itakua kaenda kwa mke wa pili ngojea aje atueleze
Dada alishajibu uko kwa mke wa pili [emoji51] [emoji51] [emoji51]Usianze ushilawadu.... WA kunificha yumo humu
Na kweli maana wanatishiana nyauHaya mambo tunasubiri wazinguane tena maana "vita vya kunguru furaha ya panzi"[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahaha alitakiwa aishie wapi?Maana mtu anatwa binam ila anafika mbali hadi mgodini
Mbona hujatuma mm nasubir ujueHahaha nimejikuta nacheka kwa kupitiliza
Ngoja nikutumie cha elfu tatu ndo utajua uchawi nausaka wapi
Nakuaminia my QueenHahaha,ukinizingua nakuruka binamu
Poleni sanamjini hakuna vyoo vya shimo vingi vya kuflash ,acha tule vitu laini ili kulainisha chooo
Hahahahah[emoji12] [emoji12] [emoji12] mkuu acha husda mbona hivyoo mkuu,Basi binamu yako ww mie dada angu huyu
kipo njiani kinasachi mahali pakutuwaMbona hujatuma mm nasubir ujue
Usiogopebinamu m,baya ww unataka kunichonganishia eeee[emoji30]
Hapo ndio uzuri wa kutumia binamHahahahah kwani ubinamu unamipaka ?
ubinam ni zaidi ya dada na ni zaidi ya mke au mume[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Ndomana akaambiwa kinyama cha hamu
Subutuuu[emoji35] [emoji35] [emoji35]Nakuaminia my Queen
HahahaMbona hujatuma mm nasubir ujue
vuta subraMbona hujatuma mm nasubir ujue
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Usiogope
Gereza la wapi linachanganya wake na waume?[emoji35] [emoji35] [emoji35] Hakuna cha pole maana tulipata kuenjoy na binamu bila usumbufu wako maana tulikuwa gereza moja
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Poleni sana
Ningemjua dem wako nikunyanganye
la huku kwetu tunachanganyika na hasa mkiwa nduguGereza la wapi linachanganya wake na waume?